Wanajeshi wetu msije kuwa kama huyu.

Wanajeshi wetu msije kuwa kama huyu.

NAPITA

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2012
Posts
5,077
Reaction score
2,248
JESHI.jpg
Inasadikiwa kuwa ndani ya huo mzigo kulikuwaku na fedha.Hapa ilikuwa ni mapambano na Magaidi wale wa Westgate kenya.
 
Utata wa hii dunia uko hapa.Wakati wapo wengi watakaokuwa wanaomba na kufanya juhudi kuzuia matukio kama ya westgate,wapo ambao maombi yao ni kinyume....,jiulize jirani yako maombi yake siku za ibada ni yapi?
 
Utata wa hii dunia uko hapa.Wakati wapo wengi watakaokuwa wanaomba na kufanya juhudi kuzuia matukio kama ya westgate,wapo ambao maombi yao ni kinyume....,jiulize jirani yako maombi yake siku za ibada ni yapi?

Ha!ha!ha! ilo nalo neno .
 
habari zisizo rasmi zinasema wanajeshi waliuana kutokana na kugombea mali ndani ya westgate.

inawezekana maana ukiangalia iyo picha vizuri utaona kama wanamlinda huyo mwenzao mwenye mzigo maana akitokomea nazo kusikojulikana varangati la hapo sasa wee!!!!
 
nasikia CCTV kamera zimewaonyesha wakiiba
 
mambo ya wanajeshi mtuhachie wenyewe. Hilo lisanduku lilibeba silaha muhimu kwetu kwa ajili ya kazi iliyokuwa mbele yetu! You people..you will never stop talkingi..talkingi..talkingi...!:rolleyez:
 
Huenda alikuwa na nia nzuri, labda amedhihifadhi jeshini
 
To the heroes of our nations who constantly face looting, well "Get rich or die trying" otherwise the Wezigate act shows how brave soldiers are....
 
Back
Top Bottom