T14 Armata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 10,650
- 34,945
Ndio wapiganaji hao wanajitokeza. Sio wanajeshi hivyo hawako physically fit, walikuwa na maisha yao mengine ukoKaka mbona hakuna vijana hapa ila ni wazee watupu?
Mashoga mnashida sanaView attachment 2349289
Huyu ni Rais wa moja ya nchi kubwa za NATO katamka haya,Tena hadharani.
Wangeheshimu mkataba wa Minsk haya yasingetokea.Vita vya kujitakia tu hivi.
Putin hawezi kushinda tena.Ndio wapiganaji hao wanajitokeza. Sio wanajeshi hivyo hawako physically fit, walikuwa na maisha yao mengine uko
Wangeheshimu mkataba wa Minsk haya yasingetokea.
Ashinde mara ngapi kujichukulia maeneo na mabandari no kielelezo kingine Nani ni mshindi au Ukraine kufeli kwenye counteroffensive zake ni dalili kwamba Nani mshindiPutin hawezi kushinda tena.
Putin hawezi kushinda tena.
Na wataendelea kupasuka Kwa ujinga waoWangeheshimu mkataba wa Minsk haya yasingetokea.
Wawe huru kutoka kwa kina nani? Kwani raia wa Urusi wao wapo huru?....hizi propaganda zimefeli.Kushinda vipi.yeye shida yake ni watu wa jamii ya warusi wawe huru,na kwa sasa wapo huru.unataka ushindi gani zaidi ya uwo?
Nilijua vita imeishaisha siku nyingi. Kumbe bado inaendelea, nilikuwa porini nachoma mkaa miezi 2 na wiki 3 sasa.Huyu gaidi akipona sidhani kama atarudi Frontline ogopa sana mtu anayekupiga afu haongei wala kutuma pichaView attachment 2348839
Nilijua vita imeishaisha siku nyingi. Kumbe bado inaendelea, nilikuwa porini nachoma mkaa miezi 2 na wiki 3 sasa.
Hizi ni propaganda tu wala siamini. Walisema Russia ana silaha nyingi tena kali kuliko nchi zingine. Anashindwa kuipiga Ukraine?
Kweli kijeshi Russia yupo mbali ukilinganisha na Ukraine ila kama kweli raia wa Ukraine hawataki kutawaliwa na Russia basi Russia hawezi kuikalia Ukraine.naona ya Vietnam yana jirudia mkuu.Hivi kuna mtu na akili zake timamu anaamini Ukraine itawaondoa Urus kwenye maeneo waliyoshika tayari..achilia mbali kushinda vita???
Kisa wame kataa kutawaliwa na Russia?Baada ya hii operation, Russia huenda akaua Hawa mbwa wote au kuweka record duniani ya Ukraine kuwa na vilema wengi kuliko nchi yoyote,
.Baada ya hii operation, Russia huenda akaua Hawa mbwa wote au kuweka record duniani ya Ukraine kuwa na vilema wengi kuliko nchi yoyote,
We ndo shoga ambapo hata uwezo wa kufikili umeishia hapohapo unaweza ushoga muda wote.Ukraine inatak nchi yao tu .Mashoga mnashida sanaView attachment 2349289