i-Business Consult
Member
- Jun 28, 2017
- 72
- 124
Habari!
Wanahitajika vijana wawili kwa ajili ya kufanya kazi ya masoko ya muda mfupi wa siku saba na malipo ni kwa siku
Elimu
Kuanzia kidato cha nne na kuendelea. Kujua kuongea Kiingereza kwa Ufasaha ni lazima
Majukumu
Kuitangaza bidhaa kwa kugawa vipeperushi na kuwapa maelezo wateja juu ya huduma ya fiber internet.
Eneo
Ni katika majengo yaliyokuwa tayari yameunganishwa na mfumo wa fiber internet. Maeneo hayo ni Upanga, Masaki, City center na Kariakoo.
Utekelezwaji wake
Watapangiwa jengo kutokana na ratiba ya siku hiyo katika eneo husika
Muda
Inatakiwa kufika mapema eneo/jengo lililopangwa kwa siku hiyo kuanzia saa moja asbh hadi saa nne unapumzika. Unarudi saa sita mchana hadi saa tisa unapumzika. Unakuja kuendelea saa kumi na moja jioni hadi saa mbili. Target ni kuwapata wateja wanaofanya kazi na kuishi katika majengo
Malipo
Shilingi 12,000 kwa siku. Gharama za chakula na nauli ofisi haihusiki nazo
Kuanza lini?
Kuanzia Jumatano ya tarehe 24.01.2018
Mawasiliano
Ofisi: Mariam tower, ghorofa ya nne, makutano ya mitaa ya Shaurimoyo na Lindi, Ilala, Dar es Salaam
email: iconsultbuzness@gmail.com
Simu:0659211222/0777777766/0755411455
Wanahitajika vijana wawili kwa ajili ya kufanya kazi ya masoko ya muda mfupi wa siku saba na malipo ni kwa siku
Elimu
Kuanzia kidato cha nne na kuendelea. Kujua kuongea Kiingereza kwa Ufasaha ni lazima
Majukumu
Kuitangaza bidhaa kwa kugawa vipeperushi na kuwapa maelezo wateja juu ya huduma ya fiber internet.
Eneo
Ni katika majengo yaliyokuwa tayari yameunganishwa na mfumo wa fiber internet. Maeneo hayo ni Upanga, Masaki, City center na Kariakoo.
Utekelezwaji wake
Watapangiwa jengo kutokana na ratiba ya siku hiyo katika eneo husika
Muda
Inatakiwa kufika mapema eneo/jengo lililopangwa kwa siku hiyo kuanzia saa moja asbh hadi saa nne unapumzika. Unarudi saa sita mchana hadi saa tisa unapumzika. Unakuja kuendelea saa kumi na moja jioni hadi saa mbili. Target ni kuwapata wateja wanaofanya kazi na kuishi katika majengo
Malipo
Shilingi 12,000 kwa siku. Gharama za chakula na nauli ofisi haihusiki nazo
Kuanza lini?
Kuanzia Jumatano ya tarehe 24.01.2018
Mawasiliano
Ofisi: Mariam tower, ghorofa ya nne, makutano ya mitaa ya Shaurimoyo na Lindi, Ilala, Dar es Salaam
email: iconsultbuzness@gmail.com
Simu:0659211222/0777777766/0755411455