kavulata JF-Expert Member Joined Aug 2, 2012 Posts 16,253 Reaction score 16,184 Apr 6, 2021 #1 Jamani kitimtim tumekiona wote kundi la wanaojiita wanaharakati huru wakifanya yao kuunga juhudi na kushambulia watu kwa mdomo. Je, bado wanaharakati wa kiwango kile wanayo nafasi kwenye zama hizi?
Jamani kitimtim tumekiona wote kundi la wanaojiita wanaharakati huru wakifanya yao kuunga juhudi na kushambulia watu kwa mdomo. Je, bado wanaharakati wa kiwango kile wanayo nafasi kwenye zama hizi?
Kijogoodi JF-Expert Member Joined Mar 29, 2021 Posts 1,361 Reaction score 2,373 Apr 6, 2021 #2 kavulata said: Jamani kitimtim tumekiona wote kundi la wanaojiita wanaharakati huru wakifanya yao kuunga juhudi na kushambulia watu kwa mdomo. Je, bado wanaharakati wa kiwango kile wanayo nafasi kwenye zama hizi? Click to expand... Waonye maana wamepora kazi ya MATAGA
kavulata said: Jamani kitimtim tumekiona wote kundi la wanaojiita wanaharakati huru wakifanya yao kuunga juhudi na kushambulia watu kwa mdomo. Je, bado wanaharakati wa kiwango kile wanayo nafasi kwenye zama hizi? Click to expand... Waonye maana wamepora kazi ya MATAGA
J johnthebaptist JF-Expert Member Joined May 27, 2014 Posts 104,319 Reaction score 183,528 Apr 6, 2021 #3 Habibu Mchange!
J johnthebaptist JF-Expert Member Joined May 27, 2014 Posts 104,319 Reaction score 183,528 Apr 6, 2021 #4 Kijogoodi said: Waonye maana wamepora kazi ya MATAGAView attachment 1745376 Click to expand... Lisu usituvurugie umoja wetu!
Kijogoodi said: Waonye maana wamepora kazi ya MATAGAView attachment 1745376 Click to expand... Lisu usituvurugie umoja wetu!
King Kong III JF-Expert Member Joined Oct 15, 2010 Posts 60,418 Reaction score 88,743 Apr 6, 2021 #5 Mwanaharakati Huru Mkuu Musiba amepotea kwenye ramani.
kavulata JF-Expert Member Joined Aug 2, 2012 Posts 16,253 Reaction score 16,184 Apr 7, 2021 Thread starter #6 King Kong III said: Mwanaharakati Huru Mkuu Musiba amepotea kwenye ramani. Click to expand... Wengi tumepigwa bumbuwazi na ghafla hii.
King Kong III said: Mwanaharakati Huru Mkuu Musiba amepotea kwenye ramani. Click to expand... Wengi tumepigwa bumbuwazi na ghafla hii.
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 167,138 Reaction score 185,417 Apr 7, 2021 #7 Kila zama hawakosekani binadamu kama hao...