Wanahabari kilimanjaro nakajumo mnafiki!

STINGER

Member
Oct 18, 2011
41
11
habari kuhusu wafanyakazi wa tbc mkoani kilimanjaro ni majungu tupu ambayo yametengenezwa na katibu msaidizi wa klabu ya wanahabari mkoa wa kilimanjaro nakajumo james kwa sababu anazozijua yeye mwenyewe na moja wapo ni pale kija wa tbc mmoja wa waumini wa haki miongoni mwa wanahabari mkoa wa kilimanjaro kutaka kuchukuwa fomu kugombea nafasi ambayo nakajumo anaitaka ya ukatibu. Kosa la nakajumo ni pale alipomuwekea kija mizengwe ili asichukue fomu na kwa vile nakajumo hakuwa na haki uchaguzi umehairishwa kwa hekima na busara za kamanda karsan, mkurugenzi mtendaji wa utpc.

Sasa kwa vile nakajumo ametangaza vita hadharani, basi ni vyema ikawekwa wazi ya kuwa nakajumo ni mtgu wa namna gani ili dunia imjue.

Kijana huyu ni tapeli ambae anakaribia nyanja za kimataifa na baadhi ya utapeli wake ni huu,

1. Mkoa mzima unajua ya kuwa nakajumo james au kwa sasa baada ya uchunguzi wa kina amejulikana ndiye james iveta wa facebook, alimtapeli mfanyabiashara mmoja wa moshi mjini, pale alipomuunganisha na kuuziwa kiwanja maeneo ya mabogini kwa zara kwa shilingi milioni 3.5. Nakajumo akishirikiana na mjomba wake walimdhulumu kijana huyu kiwanja hicho na fedha alizolipa na ambazo hajazipata hadi sasa.
2. Nakajumo kwa kushirikiana na mjombo wake huyo na muuzaji wa kiwanja walishirikiana na kumshitaki kijana huyo kwa kuwachafulia majina kijana huyo kwa vile hakuwa na uelewa wa mambo ya mahakama akatozwa malipo ambayo nakajumo na wenzake huyo waligawana.
3. Nakajumo huyo huyo pia amemtelekeza mke wake na kuhamia kwa mwandishi wa habari mmoja wa moshi wa kike anaejulikana kama matha. Cha kushangaza ni kuwa matha anajenga nyumba kwa msaada wa hawara mwingine alieko same na nakajumo kwa vile ni mtu wake wa karibu akajidai kumsaidia kumbe anampigia mahesabu mara tatu ya gharama na kutumia ziada anayompora matha kujenga nyumba, kwa maana hiyo anajenga nyumba 2 kwa pamoja, jambo ambalo baada ya matha kugundua kimemsononesha matha sana kiasi cha kukonda na kuwashangaza waandishi wenzake.
4. Cha kusikitisha nakajumo anamliwaza mke wake wa ndoa ya kuwa asijali kusikia yuko na matha kwa maana anamchuma huyo matha kwa manufaa ya familia yao na mambo yakikamilika atamtema matha.
5. Zaidi ya hayo nakajumo hivi majuzi alitumia fedha za utpc za tamasha la wanahabari kwa kushirikiana na wenzake kwa manufaa yao wenyewe huku wakichakachuwa fedha za watoto yatima, kwa mfano walikodi gari kwa ajili ya shuguli za kuwatembelea watoto yatima kwa kuongeza ziada ya 50,000/= mbali na chakula ambacho walidai kuchinja mbuzi 2 wakati hakuna ukweli wowote. Kumbukeni nakajumo alishirikiana na wenzake kutoa hesabu wa za uongo wakati wa semina 2 zilizofanyika mjini moshi kupitia utpc na tayari ushahidi uko wazi.
6. Nakajumo alikuwa katibu wa saccos ya waandishi wa habari wa kimesa na ambayo imekufa kabla haijaanza kazi, wanachama wa saccos hiyo wanadai fedha zao hadi sasa hawajazipata huku akidai kutokana na kukaa benki kwa muda mrefu zimekatwa zikaisha.
7. Nakajumo ameanzisha mkaundi ndani ya klabu ya waandishi na ambayo kwa sasa wamenzisha utaratibu wa kuwachafua wanaodai haki za wanahabari kwenye mitandao ya jamii ili kuficha uovu wake.
8. Na hivi majuzi walishirikiana na wenzake akina gift mongi, dikson busagaga na rodrik mushi kumchafua aliekuwa mkuu wa wilaya ya hai noma sigala kwenye jamii foram kwa vile mkuu huyo wa wilaya hakuanzamana nao dar es salaam kwenye mchango wa kutafuta fedha za maendeleo ya elimu kama walivyomuomba.
Huyu ndiye nakajumo anaedai kujiita kiongozi mzuri, mpenda wenzake wakati hata nyumbani kwake ameasi huku akiwatapeli wavuja jasho wa nchi hii.

Huyu hatufai hata kidogo.
 
Back
Top Bottom