MSIMISEKI SENIOR
JF-Expert Member
- Nov 1, 2014
- 459
- 287
Natanguliza samahani.
Habari hii nimeisikia kupitia Radio One saa mbili usiku bahati mbaya nimekuta ndio inamalizika.
Nimesikia kama serikali imeamua kutoa mikopo kwa wanafunzi wote wa vyuo vikuu. Mwenye taarifa sahihi plz atujuze.
Habari hii nimeisikia kupitia Radio One saa mbili usiku bahati mbaya nimekuta ndio inamalizika.
Nimesikia kama serikali imeamua kutoa mikopo kwa wanafunzi wote wa vyuo vikuu. Mwenye taarifa sahihi plz atujuze.