Red Scorpion
JF-Expert Member
- Feb 1, 2012
- 5,736
- 4,254
Wanafunzi 5 walitoroka na kwenda disko ucku,waliporud asubuhi wakawa wamechelewa kufanya Test. Ikabidi wamdanganye mwalim walilala msiban wakapewa wiki ya kujiandaa ili wafanye Special Test,cku ya test wakawekwa kila 1 kwenye darasa lake na maswal yalikua matatu tu.
1.Aliyekufa ni nan?
2.Msiba ulikuwa wap?
3.Wamezka wap?
Kumbuka majibu yanatakiwa yafanane la sivyo Shule hakuna. Je,unajua nini kilitokea? Usikose part 2 itatoka wiki ijayo.
1.Aliyekufa ni nan?
2.Msiba ulikuwa wap?
3.Wamezka wap?
Kumbuka majibu yanatakiwa yafanane la sivyo Shule hakuna. Je,unajua nini kilitokea? Usikose part 2 itatoka wiki ijayo.