wanafunzi wa kondoa girls wamefunga barabara kwasababu ya shida ya maji kondoa mjini, wamejaa darajani hakuna mawasiliano, kuingia na kutoka mjini.
Kwa serekali hii watafunga sana mwaka huu...
wanafunzi wa kondoa girls wamefunga barabara kwasababu ya shida ya maji kondoa mjini, wamejaa darajani hakuna mawasiliano, kuingia na kutoka mjini.
NB: simu yangu nimeshindwa kuambatanisha picha
Hizi akili au matope! watumia barabara wanahusika vp na wao kukosa maji?
safi xana wasichana kueni na ujasiri uouo mtafanikiwa