ulichagua vyuo gan.....Jamani batch zote tayari mbona sioni Nina langu na viegezo ninavyo nisaidie nifanyeje?
Mkuu ni hivyo nimevitaja Dom course tofautiulichagua vyuo gan.....
Kwa kupitia nacte???Jamani batch zote tayari mbona sioni jina langu na viegezo ninavyo nisaidie nifanyeje?
Asante ila naingieje kwenye failiKwa kupitia nacte???
Kuna baadhi ya vyuo havijatoa majibu lakini Tcu &Nacte wamesha maliza kazi ya kudahili hivyo ingia kwe fail lako uangalie nn wameandika???? Watakupa link ya kufuata ili kujua wapi umepangwa
AsanteIndex number yako ya form 4 na pasawd zako
Mkuu nimefanya hivyo hakuna chochote kinachotokea sijui nifanyejeIndex number yako ya form 4 na pasawd zako
Hakuna majina ya awamu ya nneIndex number yako ya form 4 na pasawd zako
Fani ganiNilichagua 5 Teofilo Mbeya,IFM,Marian na Dom
Computer scienceFani gani
Naomba link mahali ambapo naweza soma majinaMbona awamu ya nne wamekwisha toa
Kama umeandikiwa selected,tembelea hii link TCU CAS | HomeComputer science
Mbona huwa wanaweka orodha ya provisional results chini ya eneo la kuingiza namba ya index lakini hawajaweka?Kama umeandikiwa selected,tembelea hii link TCU CAS | Home
cas_core/view_provisional_results,uweke index no yako,utaona ulipo chaguliwa