Wanafunzi waliochaguliwa awamu ya pili 2017....

Wanafunzi waliochaguliwa awamu ya pili 2017....

sheddysm

Member
Joined
Jul 10, 2015
Posts
14
Reaction score
1
Orodha ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Tano na Vyuo vya Ufundi awamu ya pili mwaka mwaka 2017 pamoja na fomu za kujiunga na shule (joining instructions) inapatikana kwenye tovuti ya Ofisi ya Rais-TAMISEMI ya www.tamisemi.go.tz

Maswali:-

1. mbona nikiangalia hiyo link ya TAMSEMI nakuta kuna majina ya waliochaguli wa kidato cha tano awamu ya pili na waliochaguliwa vyuo vya ufundi sioni?

2. Hivi kwaweza kuwepo na third selection?kwan kuna majina ya wadogo/watoto wetu yaliyokuwepo kua watachaguliwa chaguo la pili lakini sasa majina yao hayapo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom