Wanafunzi wafanya Vurugu Bodi ya Mikopo

Wanafunzi wafanya Vurugu Bodi ya Mikopo

mayange

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2013
Posts
701
Reaction score
198
Mda huu wanafunzi wa vyuo vikuu mbambali hapa nchini wamekusanyika bodi ya mikopo na kuanzisha vurugu.

madai yao ni kuondolewa kwenye mfumo wa kuendelea kupata mkopo huo kwa sababu hawaku uptade tarifa zao. Huku wanafunzi hao wakidai wali update tarifa hizo ila wanashangaa kwanini wameondolewa. Sasa wanadai kuonana na mkurugenzi wa bodi hiyo, nae kagoma kutoka ofisini ndipo wanafunzi wameanza kuleta vurugu. Nitaendelea kuwajuza.
 
Mda huu wanafunzi wa vyuo vikuu mbambali hapa nchini wamekusanyika bodi ya mikopo na kuanzisha vurugu.

madai yao ni kuondolewa kwenye mfumo wa kuendelea kupata mkopo huo kwa sababu hawaku uptade tarifa zao. Huku wanafunzi hao wakidai wali update tarifa hizo ila wanashangaa kwanini wameondolewa. Sasa wanadai kuonana na mkurugenzi wa bodi hiyo, nae kagoma kutoka ofisini ndipo wanafunzi wameanza kuleta vurugu. Nitaendelea kuwajuza.
Tanzania ni zaidi uijuavyo.Kila kitu kinaenda kwa kufahamiana.
 
Mda huu wanafunzi wa vyuo vikuu mbambali hapa nchini wamekusanyika bodi ya mikopo na kuanzisha vurugu.

madai yao ni kuondolewa kwenye mfumo wa kuendelea kupata mkopo huo kwa sababu hawaku uptade tarifa zao. Huku wanafunzi hao wakidai wali update tarifa hizo ila wanashangaa kwanini wameondolewa. Sasa wanadai kuonana na mkurugenzi wa bodi hiyo, nae kagoma kutoka ofisini ndipo wanafunzi wameanza kuleta vurugu. Nitaendelea kuwajuza.
tupia na picha
 
Bodi ya mikopo imeshindwa kazi waifute waanzishe taasisi nyingine itakayofanya kazi kidigitale na sio hii inayofanya kazi kianalojia.
 
Kama tatizo ni ku-update information tu, kwanini wasirudishiwe form wa-up date hizo information halafu wapewe MKOPO kama PESA zipo?! Am I missing something?!
 
Kwa wale walioupdate halafu wakahifadhi ile copy ya form bado wanayo nafasi ya kutuma barua kueleza tatizo hilo.

Kwa wale wa UDSM wameambiwa na serikali ya wanafunzi wawasilishe copy ya ile page ya ku-update halafu serikali ya wanafunzi na chuo kitawasaidia kuwatetea.
Kwa wale ambao hawana copy ndio inakuwa sana taabu. Inabidi wasaidiwe kwa kweli. Inauma sana mtu alizoea kulipiwa ada halafu anaambiwa hatapata tena loan.
 
Bodi ya mikopo imeshindwa kazi waifute waanzishe taasisi nyingine itakayofanya kazi kidigitale na sio hii inayofanya kazi kianalojia.

Mbona ving'amuzi havifanyi kazi ya kidigitale?. Je ICT facilities zingine kama computers na communication system za kidigitale si ndio itakuwa kazi?.
 
Kwa wale walioupdate halafu wakahifadhi ile copy ya form bado wanayo nafasi ya kutuma barua kueleza tatizo hilo.

Kwa wale wa UDSM wameambiwa na serikali ya wanafunzi wawasilishe copy ya ile page ya ku-update halafu serikali ya wanafunzi na chuo kitawasaidia kuwatetea.
Kwa wale ambao hawana copy ndio inakuwa sana taabu. Inabidi wasaidiwe kwa kweli. Inauma sana mtu alizoea kulipiwa ada halafu anaambiwa hatapata tena loan.

Hiyo taarifa ya kutokupata anapewa wakati gani? Kama hawawapi mapema ndiyo wanakuwa chanzo cha vurugu. Mtu ambaye alikuwa anapata ni kwa nini asiendelee kupata? Kwani sababu iliyomfanya apate inakuwa imeondoka?
 
tunapaswa kukubali kuwa bodi ya mikopo ni wababishaji kwani inaeleweka kuwa kama ni mkopo watoto huomba kwa kipindi fulani, so kama issue ni uptodating peke yake inawezekana kabisa bodi wakawarudishia hizo fomu ili wafanye hivyo. Ila nionavyoona mimi selekali yetu haina fedha za kuwalipa wanafunzi na hivyo hizo ni sarakasi tu za serekali ambazo hazina msingi
 
Hiyo taarifa ya kutokupata anapewa wakati gani? Kama hawawapi mapema ndiyo wanakuwa chanzo cha vurugu. Mtu ambaye alikuwa anapata ni kwa nini asiendelee kupata? Kwani sababu iliyomfanya apate inakuwa imeondoka?

UDSM ilitoa majina kama 190 ya ambao hawataendelea kupata mkopo kutokana na kutoupdate account zao. Majina hayo yalibandikwa mapema sana ili kuwapa wahusika taarifa mapema kama kuna matatizo wawasilishe shida zao katika serikali ya wanafunzi ili wasaidiwe. Sijajua mfumo wa vyuo vingine.

Ambao wamekosa ni wale ambao hawaku-update account kuonyesha kama wanataka kuendelea na mkopo mwaka 2013/2014 hivyo kila mtu akitakiwa aingie online akatiki katika aaccount yake kama anataka kuendelea kupata mkopo au la. Na walihimizwa wakopy ile form ili tatizo likitokea labda la kimtandao iwe rahisi kujitetea kuwa waliupdate. Na wakiwa na form ile watasaidiwa. Tena muda nakumbuka waliuongeza kuhakikisha waty wote wanaaupdate. Ilokuwa ni bure bila malipo na ilikuwa ni process ya zaidi ya miezi 3.

Ndivyo ninavyofahamu
 
mkome nyie si mlihongwa vipilau na soda makaichagua ccm ona sasa matokeo yake.
 
Mda huu wanafunzi wa vyuo vikuu mbambali hapa nchini wamekusanyika bodi ya mikopo na kuanzisha vurugu.

madai yao ni kuondolewa kwenye mfumo wa kuendelea kupata mkopo huo kwa sababu hawaku uptade tarifa zao. Huku wanafunzi hao wakidai wali update tarifa hizo ila wanashangaa kwanini wameondolewa. Sasa wanadai kuonana na mkurugenzi wa bodi hiyo, nae kagoma kutoka ofisini ndipo wanafunzi wameanza kuleta vurugu. Nitaendelea kuwajuza.

Nchi hii bila migomo imekuwa haiendi kabisa
 
mulugo alisema kama hawajapata mikopo wakauze mbuzi au warudi nyumbani
 
kama hauku update taarifa zako usijisumbue postpone mwaka urudi mwakani hamna njia ya mkato hapo kama kwenu mna uwezo waweza endelea na masomo yako kama hamna rudi kwenu no way out, OVER.
 
UDSM ilitoa majina kama 190 ya ambao hawataendelea kupata mkopo kutokana na kutoupdate account zao. Majina hayo yalibandikwa mapema sana ili kuwapa wahusika taarifa mapema kama kuna matatizo wawasilishe shida zao katika serikali ya wanafunzi ili wasaidiwe. Sijajua mfumo wa vyuo vingine.

Ambao wamekosa ni wale ambao hawaku-update account kuonyesha kama wanataka kuendelea na mkopo mwaka 2013/2014 hivyo kila mtu akitakiwa aingie online akatiki katika aaccount yake kama anataka kuendelea kupata mkopo au la. Na walihimizwa wakopy ile form ili tatizo likitokea labda la kimtandao iwe rahisi kujitetea kuwa waliupdate. Na wakiwa na form ile watasaidiwa. Tena muda nakumbuka waliuongeza kuhakikisha waty wote wanaaupdate. Ilokuwa ni bure bila malipo na ilikuwa ni process ya zaidi ya miezi 3.

Ndivyo ninavyofahamu

Umeeleza vyema mkuu. Ninachotaka kujazia hapa ni kwamba vijana wakitanzania tunautamaduni wakupuuzia mambo sana. Wote tumepitia vyuoni. Tunajua umuhimu wakujaza/update hizo personal infos na adha yake pale mazingira ya uzembe na kutojali yatapojitokeza. Zoezi hilo sio la jana wala juzi..ni la kihistoria pia. Vijana wanataka wafwatwe kwenye halls zao na maeneo ya starehe ili waweze kujaza. Kuwa msomi ni kutafuta habari na sio habari ikutafute. Waliofutiwa kwa uzembe huo ni sahihi kabisa ili iwe fundisho kwa wengine. Hatuwezi kuendesha nchi watakavyo. Nchi yenyewe hii ni kama jino la mzee wa miaka 78 muda wowote linadondoka. Hakuna wakumkumbusha mtu kama hutajikumbusha mwenyewe. Uzembe wa hivi hauvumiliki.
 
Umeeleza vyema mkuu. Ninachotaka kujazia hapa ni kwamba vijana wakitanzania tunautamaduni wakupuuzia mambo sana. Wote tumepitia vyuoni. Tunajua umuhimu wakujaza/update hizo personal infos na adha yake pale mazingira ya uzembe na kutojali yatapojitokeza. Zoezi hilo sio la jana wala juzi..ni la kihistoria pia. Vijana wanataka wafwatwe kwenye halls zao na maeneo ya starehe ili waweze kujaza. Kuwa msomi ni kutafuta habari na sio habari ikutafute. Waliofutiwa kwa uzembe huo ni sahihi kabisa ili iwe fundisho kwa wengine. Hatuwezi kuendesha nchi watakavyo. Nchi yenyewe hii ni kama jino la mzee wa miaka 78 muda wowote linadondoka. Hakuna wakumkumbusha mtu kama hutajikumbusha mwenyewe. Uzembe wa hivi hauvumiliki.

Nakubaliana na wewe. Wengine ni wazembe kabisa wala hawaku-update kabisa na wanaleta fujo huko. Tena nakumbuka muda wa ku-update uliongezwa na ni bure ku-update. Na wengine walioonewa bado wana haki ya kupeleka copy Chuoni kwao kwa waziri wa mikopo halafu wanasaidiwa bila tatizo na bure kabisa.


Labda wawe na sababu nyingine.
 
Bodi ya mikopo imeshindwa kazi waifute waanzishe taasisi nyingine itakayofanya kazi kidigitale na sio hii inayofanya kazi kianalojia.

Kuanzisha taasisi ingine ni pesa ingine,pale ni kufumua uongozi kuusuka upya,kwa taratibu mpya,kuna wase*** wapo pale taasisi kama ya kwao. CCM selikali ya kipuuzi sana.
 
Back
Top Bottom