Mda huu wanafunzi wa vyuo vikuu mbambali hapa nchini wamekusanyika bodi ya mikopo na kuanzisha vurugu.
madai yao ni kuondolewa kwenye mfumo wa kuendelea kupata mkopo huo kwa sababu hawaku uptade tarifa zao. Huku wanafunzi hao wakidai wali update tarifa hizo ila wanashangaa kwanini wameondolewa. Sasa wanadai kuonana na mkurugenzi wa bodi hiyo, nae kagoma kutoka ofisini ndipo wanafunzi wameanza kuleta vurugu. Nitaendelea kuwajuza.
madai yao ni kuondolewa kwenye mfumo wa kuendelea kupata mkopo huo kwa sababu hawaku uptade tarifa zao. Huku wanafunzi hao wakidai wali update tarifa hizo ila wanashangaa kwanini wameondolewa. Sasa wanadai kuonana na mkurugenzi wa bodi hiyo, nae kagoma kutoka ofisini ndipo wanafunzi wameanza kuleta vurugu. Nitaendelea kuwajuza.