Wanafunzi wa zamani na wa kisasa

Wanafunzi wa zamani na wa kisasa

BUMIJA

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2011
Posts
6,182
Reaction score
11,782
Zamani kwenda sekondari ilikua adimu mana school zilikua chache na ni kua wanafunzi walikua na uwezo kiakili,sasa technologia Imekua sana, Computer zipo,Je unazani kinachosabisha wanafunzi wa sasa wawe Bangua bongo nini,shuleni hawasikiii,Wanapenda Lov£
 
ngoj waje wajbu

Sent using Jamii Forums mobile app from my Android phone
 
Zamani kwenda sekondari ilikua adimu mana school zilikua chache na ni kua wanafunzi walikua na uwezo kiakili,sasa technologia Imekua sana, Computer zipo,Je unazani kinachosabisha wanafunzi wa sasa wawe Bangua bongo nini,shuleni hawasikiii,Wanapenda Lov£
Samahani mtoa mada,, hawo wanafunzi wa zamani ukomo wa muda wao ulikuwa lini nikiwa na maana mwaka gani na hawa wa sasa walianza muda gani hadi uwaite wanafunzi wa kisasa??
Kujibu kwako swali langu kutanipa mwamko na thread yako.
Samahani ikiwa hutopendezwa na swali langu!!.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom