Wanafunzi wa chuo kikuu cha Tumaini wafunga...

Wanafunzi wa chuo kikuu cha Tumaini wafunga...

ketwas

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2010
Posts
212
Reaction score
36
Wanachuo wa Chuo Kikuu cha Tumaini sehemu ya Makumira wafunga barabara ya Moshi/Arusha.Polisi watumia mabomu ya machozi kuwatawanya.sour nipashe breaking news
 
kweli hii noma.
naona ushakuwa mchezo kwa kila chuo kugoma
au ndo style ya 2011.
 
Ufunuo wa cdm,mbowe kapita hapo wameelewa somo,kwanini wanapata taabu na serikali inadai haina pesa huku wanashinikiza dowans walipwe tzs 94 billions,wapi na wapi,pesa zisaidie kugharamia elimu.
 
Ufunuo wa cdm,mbowe kapita hapo wameelewa somo,kwanini wanapata taabu na serikali inadai haina pesa huku wanashinikiza dowans walipwe tzs 94 billions,wapi na wapi,pesa zisaidie kugharamia elimu.

kichwa cha habari nilidhani likizo!
 
ndio mambo yanayotakiwa kufanyika ili Serikali ya huyu mkwere ielewe nia ya wananchi wake.
shangaaaaa huku migomo Rais nakwenda kupumzika Swis
 
Back
Top Bottom