Wizara ya Madini
Govt Institution
- Apr 12, 2025
- 47
- 19
Jumla ya Wanafunzi wapatao 114 wa Shule ya Msingi FEZA ya jijini Dar Es Salam walioambatana na walimu wao 12, Mei 3, 2025 walitembelea Ofisi za Wizara Mji wa Serikali Mtumba jijini Dodoma ambapo walipata wasaa wa kutembelea mradi wa Jengo jipya lililo katika hatua za mwisho za kukamilika kwake.
Wanafunzi hao na walimu wao Mei 2, 2025 walikuwa miongoni mwa wageni wa Waziri wa Madini Mhe. Anthony Mavunde waliopata nafasi ya kusikiliza hotuba ya Wizara kwa Mwaka wa Fedha 2025/26 iliyowasilishwa na Mhe.Anthony Mavunde bungeni Dodoma.
Wakiwa Wizarani, wanafunzi hao waliemishwa na kufahamishwa kuhusu masuala mbalimbali yanayohusu Sekta ya Madini nchini kutoka kwa wataalam wa Wizara.
Wanafunzi hao na walimu wao Mei 2, 2025 walikuwa miongoni mwa wageni wa Waziri wa Madini Mhe. Anthony Mavunde waliopata nafasi ya kusikiliza hotuba ya Wizara kwa Mwaka wa Fedha 2025/26 iliyowasilishwa na Mhe.Anthony Mavunde bungeni Dodoma.
Wakiwa Wizarani, wanafunzi hao waliemishwa na kufahamishwa kuhusu masuala mbalimbali yanayohusu Sekta ya Madini nchini kutoka kwa wataalam wa Wizara.