R Real joh Member Joined Mar 14, 2012 Posts 19 Reaction score 0 Mar 24, 2012 #1 Tunatumia muda mwingi kufanya mambo yasiyohusiana kabisa na elimu,tukifeli tunashirikiana na wazazi kuishutumu serikali......!
Tunatumia muda mwingi kufanya mambo yasiyohusiana kabisa na elimu,tukifeli tunashirikiana na wazazi kuishutumu serikali......!
ndetichia JF-Expert Member Joined Mar 18, 2011 Posts 27,769 Reaction score 6,585 Mar 24, 2012 #2 mboni hapa sio mahali pake ungeipeleka kule elimu ingefaa kweli..
R Real joh Member Joined Mar 14, 2012 Posts 19 Reaction score 0 Mar 24, 2012 Thread starter #3 ndetichia said: mboni hapa sio mahali pake ungeipeleka kule elimu ingefaa kweli.. Click to expand... wazo lako zuri ila na hapa mbona poa kwn si chit chat!
ndetichia said: mboni hapa sio mahali pake ungeipeleka kule elimu ingefaa kweli.. Click to expand... wazo lako zuri ila na hapa mbona poa kwn si chit chat!
Husninyo Platinum Member Joined Oct 24, 2010 Posts 24,167 Reaction score 10,226 Mar 25, 2012 #4 Bora umejijua, haya sign out uanze kusoma.
Mtalingolo JF-Expert Member Joined Aug 4, 2011 Posts 2,181 Reaction score 410 Mar 25, 2012 #5 Real joh said: Tunatumia muda mwingi kufanya mambo yasiyohusiana kabisa na elimu,tukifeli tunashirikiana na wazazi kuishutumu serikali......! Click to expand... sasa kwanin unafanya mambo yasohusiana na elimu? Bilashaka utakuwa hujitambui ila kwa mm huwa simix mambo kizembe...
Real joh said: Tunatumia muda mwingi kufanya mambo yasiyohusiana kabisa na elimu,tukifeli tunashirikiana na wazazi kuishutumu serikali......! Click to expand... sasa kwanin unafanya mambo yasohusiana na elimu? Bilashaka utakuwa hujitambui ila kwa mm huwa simix mambo kizembe...
BAGAH JF-Expert Member Joined Jan 17, 2012 Posts 4,523 Reaction score 1,060 Mar 25, 2012 #6 Mtalingolo said: sasa kwanin unafanya mambo yasohusiana na elimu? Bilashaka utakuwa hujitambui ila kwa mm huwa simix mambo kizembe... Click to expand... bid up dogo langu!...haya sepa humu ndani...afu chukua huu uzi uende nao kuleeee!...bebeni fasta!
Mtalingolo said: sasa kwanin unafanya mambo yasohusiana na elimu? Bilashaka utakuwa hujitambui ila kwa mm huwa simix mambo kizembe... Click to expand... bid up dogo langu!...haya sepa humu ndani...afu chukua huu uzi uende nao kuleeee!...bebeni fasta!
BADILI TABIA JF-Expert Member Joined Jun 13, 2011 Posts 32,766 Reaction score 23,217 Mar 25, 2012 #7 bora mmejitambua....