Wanawake hampendani, kwa Nini?Mna hero wakuu na si laana.
Moja kwa moja kwny mada
Nipo mkoani Kagera kikazi wilaya naomba nisitaje sasa ni miezi 5
Uzuri nilipofka huku kuna dogo langu mmoja ni askali huku kwahiyo ndo alinipokea na kunitafutia room
Aliponitafutia room nilimkuta jamaa mmoja na mkewe na vitoto vidogo vitatu.
Nilipapenda maana hakuna wapangaji wengi.
Sasa mfumo wangu WA maisha mi ni mkimya na msiri sana pia si mtu WA kujichanganya sana sinywi pombe wala sivuti chochote.
Mwenye nyumba ni mbibi fulan nilipompa Kodi yake ye akasema maswala ya kuandkshana mkataba hajui kusoma wala kuandka nyumba aliachiwa na wanaye hivyo niwe na Amani Tu kwahiyo mpk sasa si Yule Bibi wala hawa wapangaji wenzangu wanaojua jina langu wala kujua nafanya kazi gani ukizngatia sina mazoea na yeyote zaidi ya salamu Tu na Kama kuna shida iliyondani ya uwezo wangu bs nasaidia na huwa nafanya hivyo.
Sa juzi Kati ndani nyumba kuna room ilikuwa free haina mtu kuna jamaa kaja inasemekana ana undugu na Bibi mwny nyumba bado Naye sina mazoea Naye zaidi ya salamu Tu.
Wkend Niko zangu geto nimechili nasikiliza gospel zangu mdogo mdogo huku nachart nasikia mtu anafoka hatari kwa sauti nzto huko nje jiran na dirishan kwangu akitamka maneno ya kwamba huyu ana hela gani ni fala Tu ana hela ya kulipa Kodi na Kula Tu Hana lolote lakini jamaa nilipochungulia nikamuona anatumia nguvu kubwa sn mpk jasho linamtoka kucheck kumbe alikuwa anaongea na Yule mpangaji mwenzangu maana yake kuna mtu walikuwa wanamjadili before ndo jamaa akafula kiasi like ikabdi nitulie dirishani nijue ni Nani ndipo nikaona Yule aliyekuwa anafoka akatamka neno huku amenyoosha kidole kwny dirisha langu aaah ndipo nikajua ni Mimi niliyekuwa najadiliwa.
Aisee imenipa shida sn hivi wanadamu tukoje jamani kosa langu ni lipo mimi maana kama ni usafi mpk chooni huko nafanya tena mara nyng sn kuliko majiran zangu na sijawahi lalamika.
Sjawahi piga wala kutukana wala kumuita mtoto WA mtu kumtuma hata dukani.
Sina marafiki WA kuja hapa hata kupiga story zaidi Yule dogo askali ndo huwa anakuja kupga story maana Naye si mtu WA viwanja kama Mimi.
Nawaheshimu wote na Kama ningekuwa mtu WA totozi huyu mke WA jirani ningeshajilia kitombo sn bt nmejizuia sn sn aisee.
Sasa wakuu mnanishauri nn kwa hili
Sasa nianze kujisogeza kwao na wajue Mambo yangu au nikaze Uzi zaidi Yan Sura mbuzi zaidi au?
Hivi mtoa mada ni mwanamke?Wanawake hampendani, kwa Nini?
Sjui kama we ndugu utakuwa huumwi magonjwa ya kisaikolojia yaani jinsi nilivyoandka Tu kwa mtu asiye Mgonjwa wa kusaikolojia kuhusu wanawaake ashajua Tu kwamba m si mwanamke Sa kwsbb we ni mgonjwa huamini kbs wapo wanaume washenzi kuliko hata wanawaake kazi Yao kuteta wanaume wenzaoWanawake hampendani, kwa Nini?
Show showMimi sio mkorofi lakini kwenye situation kama hiyo ningemvunja pua.
Yaani seriously uweke mambo yako hadharani ili uridhishe mjinga mmoja hivi ambaye hakusaidii chochote.
Wewe kaza alafu kuwa mgumu mara mbili zaidi kama Agent wa CIA. Usipangiwe maisha.
Maishani ni lazima uwe mkakamavu na misimamo migumu ili usiyumbishwe na chochote au vinginevyo utaendeshwa na kila mtu na utapata tabu mpaka unakufa.
Utageuka kondoo fuata mkumbo.
Kingine una moyo wa kuridhisha wengine huku unamia ndani kwa ndani hicho kitu acha mara moja.
Life isn't fair na huo ndio mfano wa kwanza.
kama mtu hakusaidii au hana faida yoyote kwako basi achana naye bila ya kupoteza muda.
Unahangaishwaje fikra na watu "desperate" na wenye "inferiority complex"?!!!Mna heri wakuu na si laana.
Moja kwa moja kwenye mada
Nipo mkoani Kagera kikazi wilaya naomba nisitaje sasa ni miezi 5
Uzuri nilipofika huku kuna dogo langu mmoja ni askari huku kwahiyo ndio alinipokea na kunitafutia room
Aliponitafutia room nilimkuta jamaa mmoja na mkewe na vitoto vidogo vitatu.
Nilipapenda maana hakuna wapangaji wengi.
Sasa mfumo wangu WA maisha mi ni mkimya na msiri sana pia si mtu WA kujichanganya sana sinywi pombe wala sivuti chochote.
Mwenye nyumba ni mbibi fulan nilipompa Kodi yake ye akasema maswala ya kuandkshana mkataba hajui kusoma wala kuandka nyumba aliachiwa na wanaye hivyo niwe na Amani Tu kwahiyo mpk sasa si Yule Bibi wala hawa wapangaji wenzangu wanaojua jina langu wala kujua nafanya kazi gani ukizngatia sina mazoea na yeyote zaidi ya salamu Tu na Kama kuna shida iliyondani ya uwezo wangu bs nasaidia na huwa nafanya hivyo.
Sa juzi Kati ndani nyumba kuna room ilikuwa free haina mtu kuna jamaa kaja inasemekana ana undugu na Bibi mwny nyumba bado Naye sina mazoea Naye zaidi ya salamu Tu.
Wkend Niko zangu geto nimechili nasikiliza gospel zangu mdogo mdogo huku nachart nasikia mtu anafoka hatari kwa sauti nzto huko nje jiran na dirishan kwangu akitamka maneno ya kwamba huyu ana hela gani ni fala Tu ana hela ya kulipa Kodi na Kula Tu Hana lolote lakini nilipochungulia nikamuona ni Yule jamaa mwny udugu Yule Bibi mwny nyumba yaan jamaa aliyekuja kuishi kwny hiki chumba kilichokuwa wazi ndo anatumia nguvu kubwa sn mpk jasho linamtoka kucheck kumbe alikuwa anaongea na Yule mpangaji mwenzangu maana yake kuna mtu walikuwa wanamjadili before ndo jamaa akafula kiasi like ikabdi nitulie dirishani nijue ni Nani ndipo nikaona Yule aliyekuwa anafoka anatamka neno huku amenyoosha kidole kwny dirisha langu aaah ndipo nikajua ni Mimi niliyekuwa najadiliwa.
Aisee imenipa shida sn hivi wanadamu tukoje jamani kosa langu ni lipo mimi maana kama ni usafi mpk chooni huko nafanya tena mara nyng sn kuliko majiran zangu na sijawahi lalamika.
Sjawahi piga wala kutukana wala kumuita mtoto WA mtu kumtuma hata dukani.
Sina marafiki WA kuja hapa hata kupiga story zaidi Yule dogo askali ndo huwa anakuja kupga story maana Naye si mtu WA viwanja kama Mimi.
Nawaheshimu wote na Kama ningekuwa mtu WA totozi huyu mke WA jirani ningeshajilia kitambo sn bt nmejizuia sn sn aisee.
Sasa wakuu mnanishauri nini kwa hili.
Sasa nianze kujisogeza kwao na wajue Mambo yangu au nikaze Uzi zaidi Yan Sura mbuzi zaidi au?
Just keep on your parameters.. Uki react watajua kumbe wewe boya tu..lakini ukikaza na kuwapotezea watakuogopa vibaya sanaMna heri wakuu na si laana.
Moja kwa moja kwenye mada
Nipo mkoani Kagera kikazi wilaya naomba nisitaje sasa ni miezi 5
Uzuri nilipofika huku kuna dogo langu mmoja ni askari huku kwahiyo ndio alinipokea na kunitafutia room
Aliponitafutia room nilimkuta jamaa mmoja na mkewe na vitoto vidogo vitatu.
Nilipapenda maana hakuna wapangaji wengi.
Sasa mfumo wangu WA maisha mi ni mkimya na msiri sana pia si mtu WA kujichanganya sana sinywi pombe wala sivuti chochote.
Mwenye nyumba ni mbibi fulan nilipompa Kodi yake ye akasema maswala ya kuandkshana mkataba hajui kusoma wala kuandka nyumba aliachiwa na wanaye hivyo niwe na Amani Tu kwahiyo mpk sasa si Yule Bibi wala hawa wapangaji wenzangu wanaojua jina langu wala kujua nafanya kazi gani ukizngatia sina mazoea na yeyote zaidi ya salamu Tu na Kama kuna shida iliyondani ya uwezo wangu bs nasaidia na huwa nafanya hivyo.
Sa juzi Kati ndani nyumba kuna room ilikuwa free haina mtu kuna jamaa kaja inasemekana ana undugu na Bibi mwny nyumba bado Naye sina mazoea Naye zaidi ya salamu Tu.
Wkend Niko zangu geto nimechili nasikiliza gospel zangu mdogo mdogo huku nachart nasikia mtu anafoka hatari kwa sauti nzto huko nje jiran na dirishan kwangu akitamka maneno ya kwamba huyu ana hela gani ni fala Tu ana hela ya kulipa Kodi na Kula Tu Hana lolote lakini nilipochungulia nikamuona ni Yule jamaa mwny udugu Yule Bibi mwny nyumba yaan jamaa aliyekuja kuishi kwny hiki chumba kilichokuwa wazi ndo anatumia nguvu kubwa sn mpk jasho linamtoka kucheck kumbe alikuwa anaongea na Yule mpangaji mwenzangu maana yake kuna mtu walikuwa wanamjadili before ndo jamaa akafula kiasi like ikabdi nitulie dirishani nijue ni Nani ndipo nikaona Yule aliyekuwa anafoka anatamka neno huku amenyoosha kidole kwny dirisha langu aaah ndipo nikajua ni Mimi niliyekuwa najadiliwa.
Aisee imenipa shida sn hivi wanadamu tukoje jamani kosa langu ni lipo mimi maana kama ni usafi mpk chooni huko nafanya tena mara nyng sn kuliko majiran zangu na sijawahi lalamika.
Sjawahi piga wala kutukana wala kumuita mtoto WA mtu kumtuma hata dukani.
Sina marafiki WA kuja hapa hata kupiga story zaidi Yule dogo askali ndo huwa anakuja kupga story maana Naye si mtu WA viwanja kama Mimi.
Nawaheshimu wote na Kama ningekuwa mtu WA totozi huyu mke WA jirani ningeshajilia kitambo sn bt nmejizuia sn sn aisee.
Sasa wakuu mnanishauri nini kwa hili.
Sasa nianze kujisogeza kwao na wajue Mambo yangu au nikaze Uzi zaidi Yan Sura mbuzi zaidi au?
Mimi huku ni mgeni nilipofka nilifkia kwa dogo Kota za polisi pia dogo ana mke sa skutaka kukaa pale hata wk Tu ili kitafutwe chumba cha hadhi hiyo pia mi NPO huku kwa muda Nina mke na mji wangu kbs pia mi si mtu WA matumiz maisha kuna Leo unacho kesho huna siwez lipia room elfu hamsini kwa mwezi kisa Choo wkt kuna chumba cha elfu ishirin au thelathin kizuri kbs kasoro Choo Tu ndani ukizngatia NPO huku kwa muda Tu kisha tarudi nilikotokaKwanza umenikwaza Sana kupanga chumba ambacho mnawekeana zamu za kusafisha choo..mwanaume Kama wewe unatakiwa upange chumba chenye choo ndani ujisafishie mwenyewe.hama hio nyumba tafuta nyingine