kawaida hujenga mazoea,kama umemzoesha hivyo ndo itakua hivyo hivyo hata ukianzisha mijadala ya maendeleo atakushangaa kwa kweli na wala hataweza kukupa ushirikiano.cha muhimu ni wewe kama binti kuweka mcmamo tangu mwanzo.in short mwanaume wa hivyo hafai hata kidogo.mwenye macho haambiwi tazama hapo ni kusepa2