Wanachofanya NHC ni sahihi?

balzac

Member
Jan 5, 2012
83
28
Wadau, naona shirika la nyumba la Taifa linafanya ujenzi wa magorofa mapya ubungo-shekilango na chang'ombe. chakushangaza naona wanatumia open spaces(eg parking) zilizoko katikati ya majengo yao ya zamani kujenga magorofa mapya. nafkiri kutakua congested sana(imagine pale sheki zinaongezeka familia 80) population kubwa itakua ikiishi ktk eneo dogo sana.sijui kama utaalam umezingatiwa na hakukua na alternative kujenga nje ya mji. nahitaji kuelimishwa
 
hakuna tabu. tembelea belgium, denmark, Uk etc uone. kwenye mijengo ya namna hiyo na iliyojengwa kwenye nafasi finyu.
 
halafu kumbuka miuondomninu yetu bado, eneo finyu utahitaji choo cha ndani, bafu ndani, wakati maji yenyewe ya kusuasua watu elfu kumi wakitumia vyoo vitatu kwa maji ya kusuasua na waafrika tusivyojua usafi si balaa kwenye hiyo migorofa, itakuwa kama kotazi za polisi...
 
halafu kumbuka miuondomninu yetu bado, eneo finyu utahitaji choo cha ndani, bafu ndani, wakati maji yenyewe ya kusuasua watu elfu kumi wakitumia vyoo vitatu kwa maji ya kusuasua na waafrika tusivyojua usafi si balaa kwenye hiyo migorofa, itakuwa kama kotazi za polisi...

Inaelekea umezoea choo cha nje...? Sasa hilo ni kosa la nani? NHC au wewe mkazi kutokuwa msafi?

Halafu kama wewe mwenyewe unajidharau unategemea nani akuheshimu... acha hizo bana...!
 
NHC wameishiwa maeneo yapo kibao kwa nini waendelea kujaza migorofa yenye mba-nano tu hapa town? Kwani wasiende mabwepande,mkulanga,mpiji,kibaha pale kuna maeneo mengi tu!!!!
 
Back
Top Bottom