mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,767
- 7,115
Wana JF,
Katika vyama vinavyopata misukosuko CHADEMA inaongoza, huko nyuma tuliona tanu ilivyoangaika kuvimaliza vyama vya upinzani na kuvifanya vife kabisa. Hii ni tofauti na CHADEMA, CHADEMA imejikita mwenye mioyo ya watu ambao wapo serikalini, wapo CCM lakini hawajionyeshi. Mifumo ya chama tawala huko nyuma ilikuwa ya kindugu sana kiasi kwamba waliowahi nafasi wanazifanya miliki yao. Ujio Wa Rais Magufuri angalau umebadilisha sura kwani ameamua kuondoa utawala Wa kindugu kwa teuzi sake, lakini bado anakwama kwani waliokwazika ni wengi.
Kwanini nasema CHADEMA kama Liverpool, ni kwamba CHADEMA haijapata kocha mzuri, aliyepo anababaika sana kwani mbinu zimemuiishia ikiwa CHADEMA ikapata kocha mzuri ikafunguliwa gereza la siasa basi CCM kufutika nusu siku. Ndio maana kauli za Dr. Bashiru zimeelezea uhalisia baada ya kuona CHADEMA wanachama wao vichwa ngumu awabadiriki. Hata CCM inavyoendelea kuwapokea watoro isifurahia sana kwani walipishana na uongozi lakini mioyo yao ipo upande Wa pili kwani malezi yao yamegubikwa na siasa kinzani.
Katika vyama vinavyopata misukosuko CHADEMA inaongoza, huko nyuma tuliona tanu ilivyoangaika kuvimaliza vyama vya upinzani na kuvifanya vife kabisa. Hii ni tofauti na CHADEMA, CHADEMA imejikita mwenye mioyo ya watu ambao wapo serikalini, wapo CCM lakini hawajionyeshi. Mifumo ya chama tawala huko nyuma ilikuwa ya kindugu sana kiasi kwamba waliowahi nafasi wanazifanya miliki yao. Ujio Wa Rais Magufuri angalau umebadilisha sura kwani ameamua kuondoa utawala Wa kindugu kwa teuzi sake, lakini bado anakwama kwani waliokwazika ni wengi.
Kwanini nasema CHADEMA kama Liverpool, ni kwamba CHADEMA haijapata kocha mzuri, aliyepo anababaika sana kwani mbinu zimemuiishia ikiwa CHADEMA ikapata kocha mzuri ikafunguliwa gereza la siasa basi CCM kufutika nusu siku. Ndio maana kauli za Dr. Bashiru zimeelezea uhalisia baada ya kuona CHADEMA wanachama wao vichwa ngumu awabadiriki. Hata CCM inavyoendelea kuwapokea watoro isifurahia sana kwani walipishana na uongozi lakini mioyo yao ipo upande Wa pili kwani malezi yao yamegubikwa na siasa kinzani.