WanaCHADEMA: Charity begins at home!!

WanaCHADEMA: Charity begins at home!!

Kitendo cha Kuruka na CHOPA tatu kwenye kampeni za kata moja huku document za chama zikiwa zinalala kwenye kiota cha ndege ni kipimo tosha kuwa CHADEMA ni SACCOSS na siyo chama. Wakati wa kampeni nikasikia HECHE anasema siku saba alizoruka angani na CHOPA amejionea umaskini mkubwa sana wa tanzania, nikajiuliza kelele ambazo viongozi wake wamekuwa wakipiga majukwaani kuwa nchi ni maskini wao waliona baada ya kupanda CHOPA au alitaka kuwatambishia wananchi kuwa na yeye siku hizi ni mtu wa CHOPA?
Umeshawahi ku process Hati ya kiwanja,kibali cha ujenzi ukajua inachukua siku ngapi kuvipata? bila kutoa rushwa
 
Nilijua una jambo la msingi kumbe chenga tu, kwa hiyo kwako wewe kujenga majengo ndio kipaumbele, da!
 
Nilijua una jambo la msingi kumbe chenga tu, kwa hiyo kwako wewe kujenga majengo ndio kipaumbele, da!

Ukiwa na akili za kukariri a.k.a kudesa hutaweza kuielewa mantiki ya hoja yangu labda kama nikiweka zile mada zetu za udaku kama vile USALITI,WARAKA WA SIRI na mada nyinginezo zinafananazo na hizo ndiyo ungenielewa.
 
hayo unayo yawaza waliwaza kina mrema.mapalala,lipumba,seif babu slaa kitambo sana na bado wamesanda utakuwa wewe mchovu mwenye id fake tena jf

mtaji wa ccm ni watu maskini na wajinga. You are inclussive yani kama kuna watu mamburula nchi hii ambao fikra zao zimeoza (sio kupotoka tu) basi you must be no.1
 
Back
Top Bottom