huyu mtu ndo kaamua kwa nguvu zote kabisa hii miaka 2 iliyobaki kila kitu kiende kwao..... Bandari ambayo haina ulazima tayari,barabara tayari na sasa kiwanda cha gesi.... Ina maana hawjui reli na bandari zingeinua mkoa wa tanga AMBAO una bandari ya asili... Wanawanyonya mtwara kwenye bei ya korosho kinguvu , waliviua viwanda kwa kubangua sasa zao limedodora na bado wanawaibia, gesi ambayo labda lingeinua uchumi wa mtwara kwa kuwawekea kiwanda kwao kikawakwamua hawa watu nacho anakikimbiza kwao....
Wana haki ya kuchoma moto.... Nawaunga mkono wazidi kuchoma moto kila kilicho cha fisadi........