Tanzania_Mbeya_location_map.svg
wana kagera wana thread yao kwenye jukwaa hili la siasa kujadili changamoto na solution ya matatizo yao.
Nimeona ni vyema nikaweka uzi hapa tukajumuika wana Mbeya wa JF na hususan kwenye hili jukwaa la siasa tukapeana mawazo, changamoto na solutions za matatizo yetu na bila kusahau contacts za kila namba
Kagera wameanza wengine tunafuata maana tushaambiwa na watawala tujikwamue wenyewe kisiasa,uchumu,na kijamii
wana kagera wana thread yao kwenye jukwaa hili la siasa kujadili changamoto na solution ya matatizo yao.
Nimeona ni vyema nikaweka uzi hapa tukajumuika wana Mbeya wa JF na hususan kwenye hili jukwaa la siasa tukapeana mawazo, changamoto na solutions za matatizo yetu na bila kusahau contacts za kila namba
Kagera wameanza wengine tunafuata maana tushaambiwa na watawala tujikwamue wenyewe kisiasa,uchumu,na kijamii