huyu bwana inasemekana kashindwa kulipa mkopo stanbic na alichukua kwa jina la kampuni sumry, ko kabadili jina la biashara ili kuendelea kusavaiv ingawa njia zake mama kama swanga mby na mpanda amekabwa na ndenjela na ndenjela kapeleka vitu vya kutoka kwenye box( vipya) ko ameyumba sana.
FUMBENI MACHO TUMUOMBEE