Wana CCM wenzangu mnakumbuka hii kitu?

mutant gene

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2014
Posts
876
Reaction score
326
Wakati imebakia miezi michache kabla ya uchaguzi na kushuhudia CCM ikijinyakulia ushindi tena wa KISHINDO, si mbaya tukajikumbusha kale kawimbo ketu ambacho kanasema " watanzaniaaa, watanzaniaa CCM yawina*2" halafu anatokea marehemu mh komba anaunga " kina mama,Kina baba, kina kaka na kina dada CCM yawina" mnakumbuka hii kitu?

USHINDI LAZIMA

PAMOJA
 
Ccm bado wana ndoto za kushinda mwaka huu nitawashanga sana wananchi wataoipigia kura ccm.
 

Kabla ya ubaguzi upi ccm itawin?
 
Nyie jifarijini wapinzani kujifariji ni kawaida yenu! USHINDI WA KISHINDO UPO PALE PALE! Tunasubiri mda tu!!
 
Nyie jifarijini wapinzani kujifariji ni kawaida yenu! USHINDI WA KISHINDO UPO PALE PALE! Tunasubiri mda tu!!

Nitashangaa ccm kushindwa uchaguzi kwa tume hii liyopo labda iundwe tume nyingine
 
Umeshindwa hata kuweka audio clip? Halafu Komba hatakuwepo kuipigia ficcm debe.Mpelekeni Mwigulu au Makonda chuo cha muziki aje kuishangilia ccm oktoba.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…