Join Date : 26th April 2012
Posts : 38
Rep Power : 308
Likes Received 1
Likes Given 0
Pole sana. Kazi unayofanya wewe si wa kwanza kuifanya. Walikuwepo kina Mwita25, Faiza Foxy, Malaria Sugu, etc wameshindwa. Anyway Karibu sana JF.
Umenikumbusha moja ya sababu kubwa iliyopelekea luddism kushindwa huko uingereza katika kipindi cha workers' movements......hawakumtambua adui yao na kudhani adui yao ni machinery technology.....hata wewe umeshindwa kumtambua adui wa CCM kuwa ni matatizo yanayosababishwa na utawala wao wa kipuuzi..unadhani adui ni chadema......mtu aliechoka hata uweke mgombea wa CCM na jiwe atachagua jiwe coz anaweza kuangulia matunda na kuua ndege!
Think as a great thinker not as sandbag!
Habari wanaccm wenzangu!
Najua tuna kazi nzito ya kukitokomeza chama mufilisi CDM ambacho kinajifanya ni cha wananchi kumbe ni cha watu wachache wenye maslahi binafsi ya kuatafuna ruzuku na kusubiri wakichukua nchi wafisadi rasilimali zetu.
MY TAKE
Naomba wanaccm wenzangu kuanzia humu jf na viongozi wote wa ccm tuanzishe na sisi m4% yetu ya kuitokomeza CDM na iendeshwe na viongozi wetu kama jmakamba, mrisho gambo, shigela, fred lowasa kilango malecela, sitta, na dk. Benson bana ndo awe kiongzoi wa hii M4C.
halafu hivi hamuoni aibu chama kama chenu chenye muda mwingi madarakani mnaishia kudandia mawazo na hoja za wengine kila uchao? katiba mpya mkadandia mkaishia kutojua muanzie wapi na kuishia wapi.
Hongera mkuu, hapo umenena, huu ndio u-great thinker.Umenikumbusha moja ya sababu kubwa iliyopelekea luddism kushindwa huko uingereza katika kipindi cha workers' movements......hawakumtambua adui yao na kudhani adui yao ni machinery technology.....hata wewe umeshindwa kumtambua adui wa CCM kuwa ni matatizo yanayosababishwa na utawala wao wa kipuuzi..unadhani adui ni chadema......mtu aliechoka hata uweke mgombea wa CCM na jiwe atachagua jiwe coz anaweza kuangulia matunda na kuua ndege!
Think as a great thinker not as sandbag!
Hongera mkuu, hapo umenena, huu ndio u-great thinker.Umenikumbusha moja ya sababu kubwa iliyopelekea luddism kushindwa huko uingereza katika kipindi cha workers' movements......hawakumtambua adui yao na kudhani adui yao ni machinery technology.....hata wewe umeshindwa kumtambua adui wa CCM kuwa ni matatizo yanayosababishwa na utawala wao wa kipuuzi..unadhani adui ni chadema......mtu aliechoka hata uweke mgombea wa CCM na jiwe atachagua jiwe coz anaweza kuangulia matunda na kuua ndege!
Think as a great thinker not as sandbag!