AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,040
Habari wanaccm wenzangu!
Najua tuna kazi nzito ya kukitokomeza chama mufilisi CDM ambacho kinajifanya ni cha wananchi kumbe ni cha watu wachache wenye maslahi binafsi ya kuatafuna ruzuku na kusubiri wakichukua nchi wafisadi rasilimali zetu.
MY TAKE
Naomba wanaccm wenzangu kuanzia humu jf na viongozi wote wa ccm tuanzishe na sisi m4% yetu ya kuitokomeza CDM na iendeshwe na viongozi wetu kama jmakamba, mrisho gambo, shigela, fred lowasa kilango malecela, sitta, na dk. Benson bana ndo awe kiongzoi wa hii M4C.
Najua tuna kazi nzito ya kukitokomeza chama mufilisi CDM ambacho kinajifanya ni cha wananchi kumbe ni cha watu wachache wenye maslahi binafsi ya kuatafuna ruzuku na kusubiri wakichukua nchi wafisadi rasilimali zetu.
MY TAKE
Naomba wanaccm wenzangu kuanzia humu jf na viongozi wote wa ccm tuanzishe na sisi m4% yetu ya kuitokomeza CDM na iendeshwe na viongozi wetu kama jmakamba, mrisho gambo, shigela, fred lowasa kilango malecela, sitta, na dk. Benson bana ndo awe kiongzoi wa hii M4C.