Wana-ccm tuanzishe na sisi m4c yetu kuitokomeza chadema"

AdvocateFi

JF-Expert Member
Jan 15, 2012
11,492
5,040
Habari wanaccm wenzangu!
Najua tuna kazi nzito ya kukitokomeza chama mufilisi CDM ambacho kinajifanya ni cha wananchi kumbe ni cha watu wachache wenye maslahi binafsi ya kuatafuna ruzuku na kusubiri wakichukua nchi wafisadi rasilimali zetu.
MY TAKE
Naomba wanaccm wenzangu kuanzia humu jf na viongozi wote wa ccm tuanzishe na sisi m4% yetu ya kuitokomeza CDM na iendeshwe na viongozi wetu kama jmakamba, mrisho gambo, shigela, fred lowasa kilango malecela, sitta, na dk. Benson bana ndo awe kiongzoi wa hii M4C.
 
Nape alisema kuanzia sasa CDM watakuwa wanacheza muziki wetu, sasa sijui nani kati ya CDM na CCM anayecheza muziki wa mwenzake? CDM wameanzisha M4C na nyie mnataka muanzishe kwani hamna majina mengine au mpaka muige toka upande wa pili?
 
Mimba changa inasumbua sana!
Pole!
CCM inauawa wa wanaccm wenyewe!
Kikwete ni namba moja katika kutekeleza ccm inakufa kifo cha kibudu. Ukitaka kujua ukweli mwulize Deo Filikunjombe
 
Habari wanaccm wenzangu!
Najua tuna kazi nzito ya kukitokomeza chama mufilisi CDM ambacho kinajifanya ni cha wananchi kumbe ni cha watu wachache wenye maslahi binafsi ya kuatafuna ruzuku na kusubiri wakichukua nchi wafisadi rasilimali zetu.
MY TAKE
Naomba wanaccm wenzangu kuanzia humu jf na viongozi wote wa ccm tuanzishe na sisi m4% yetu ya kuitokomeza CDM na iendeshwe na viongozi wetu kama jmakamba, mrisho gambo, shigela, fred lowasa kilango malecela, sitta, na dk. Benson bana ndo awe kiongzoi wa hii M4C.
Hivi mkuu hujui kuwa M4C maana yake ni movement for carnage.
 
Habari wanaccm wenzangu!
Najua tuna kazi nzito ya kukitokomeza chama mufilisi CDM ambacho kinajifanya ni cha wananchi kumbe ni cha watu wachache wenye maslahi binafsi ya kuatafuna ruzuku na kusubiri wakichukua nchi wafisadi rasilimali zetu.
MY TAKE
Naomba wanaccm wenzangu kuanzia humu jf na viongozi wote wa ccm tuanzishe na sisi m4% yetu ya kuitokomeza CDM na iendeshwe na viongozi wetu kama jmakamba, mrisho gambo, shigela, fred lowasa kilango malecela, sitta, na dk. Benson bana ndo awe kiongzoi wa hii M4C.
Sacarsm n ridicule noted in ur post, but bear in mind tht 1. Stereotyping cant work 4 CCM n 2. Dead entities don count, au hujui?! CCM is dead period. RIP
 
Habari wanaccm wenzangu!
Najua tuna kazi nzito ya kukitokomeza chama mufilisi CDM ambacho kinajifanya ni cha wananchi kumbe ni cha watu wachache wenye maslahi binafsi ya kuatafuna ruzuku na kusubiri wakichukua nchi wafisadi rasilimali zetu.
MY TAKE
Naomba wanaccm wenzangu kuanzia humu jf na viongozi wote wa ccm tuanzishe na sisi m4% yetu ya kuitokomeza CDM na iendeshwe na viongozi wetu kama jmakamba, mrisho gambo, shigela, fred lowasa kilango malecela, sitta, na dk. Benson bana ndo awe kiongzoi wa hii M4C.

kweli tumeingiliwa kwa kweli.
 
Hivi mkuu hujui kuwa M4C maana yake ni movement for carnage.

mkuu naelewa! Na kuanza na ww kama ni mwanaccm wenzangu na sisi tuanzishe hii movement ya kubadili matuzi mazuri ya ruzuku pia ni kuchochea mabadiliko ktk vichwa vya vijana wetu walolishwa sumu chafu na hao wahuni wanaojiita mkamanda kama lema na lissu, so kwa kufanya hii movement ninaamini chama chetu kitakwenda kurudi kama zamani.
 
Naomba wanaccm wenzangu kuanzia humu jf na viongozi wote wa ccm tuanzishe na sisi m4% yetu ya kuitokomeza CDM na iendeshwe na viongozi wetu kama jmakamba, mrisho gambo, shigela, fred lowasa kilango malecela, sitta, na dk. Benson bana ndo awe kiongzoi wa hii M4C.

mkuu,
una undugu na lusinde?
 
Habari wanaccm wenzangu!
Najua tuna kazi nzito ya kukitokomeza chama mufilisi CDM ambacho kinajifanya ni cha wananchi kumbe ni cha watu wachache wenye maslahi binafsi ya kuatafuna ruzuku na kusubiri wakichukua nchi wafisadi rasilimali zetu.
MY TAKE
Naomba wanaccm wenzangu kuanzia humu jf na viongozi wote wa ccm tuanzishe na sisi m4% yetu ya kuitokomeza CDM na iendeshwe na viongozi wetu kama jmakamba, mrisho gambo, shigela, fred lowasa kilango malecela, sitta, na dk. Benson bana ndo awe kiongzoi wa hii M4C.

Join Date : 26th April 2012
Posts : 38
Rep Power : 308
Likes Received 1
Likes Given 0

Pole sana. Kazi unayofanya wewe si wa kwanza kuifanya. Walikuwepo kina Mwita25, Faiza Foxy, Malaria Sugu, etc wameshindwa. Anyway Karibu sana JF.
 
Umenikumbusha moja ya sababu kubwa iliyopelekea luddism kushindwa huko uingereza katika kipindi cha workers' movements......hawakumtambua adui yao na kudhani adui yao ni machinery technology.....hata wewe umeshindwa kumtambua adui wa CCM kuwa ni matatizo yanayosababishwa na utawala wao wa kipuuzi..unadhani adui ni chadema......mtu aliechoka hata uweke mgombea wa CCM na jiwe atachagua jiwe coz anaweza kuangulia matunda na kuua ndege!
Think as a great thinker not as sandbag!
 
Haa haaa, fanyeni hivo bwana ili na nyinyi muendelee kuwaibia watanzania tembo, twiga na nyati kupeleka kwa marafiki zenu ulaya na uarabuni. Kweli ccm ni janga hawana hata huruma!
 
Habari wanaccm wenzangu!
Najua tuna kazi nzito ya kukitokomeza chama mufilisi CDM ambacho kinajifanya ni cha wananchi kumbe ni cha watu wachache wenye maslahi binafsi ya kuatafuna ruzuku na kusubiri wakichukua nchi wafisadi rasilimali zetu.
MY TAKE
Naomba wanaccm wenzangu kuanzia humu jf na viongozi wote wa ccm tuanzishe na sisi m4% yetu ya kuitokomeza CDM na iendeshwe na viongozi wetu kama jmakamba, mrisho gambo, shigela, fred lowasa kilango malecela, sitta, na dk. Benson bana ndo awe kiongzoi wa hii M4C.

Mimi ni mwanachama mwenzako wa CCM lakini kwa mwendo huo wa kutofautiana na chadema bila ya hoja na badala yake shutuma zisizokuwa na kichwa wala miguu tutazidi kukipoteza chama. Nani anayekula ruzuku zaidi ya CCM? Kila mwezi CCM inapata zaidi ya nusu ya fungu zima la ruzuku lililotengwa kwa ajili ya vyama vya siasa, lakini kwanini such resources do not translate into growth of the party in terms of recruitment and support? Ruzuku ina maana gani sasa kwa CCM kwani hatuoni kama inafanya kazi. Lakini ruzuku ya wenzetu Chadema ipo more effectively - does it mean small is beautiful? Kama tunataka kusonga mbele kama chama na kurudisha imani ya umma, hakuna njia iliyo bora zaidi ya kuambiana ukweli.
 
Habari wanaccm wenzangu!
Najua tuna kazi nzito ya kukitokomeza chama mufilisi CDM ambacho kinajifanya ni cha wananchi kumbe ni cha watu wachache wenye maslahi binafsi ya kuatafuna ruzuku na kusubiri wakichukua nchi wafisadi rasilimali zetu.
MY TAKE
Naomba wanaccm wenzangu kuanzia humu jf na viongozi wote wa ccm tuanzishe na sisi m4% yetu ya kuitokomeza CDM na iendeshwe na viongozi wetu kama jmakamba, mrisho gambo, shigela, fred lowasa kilango malecela, sitta, na dk. Benson bana ndo awe kiongzoi wa hii M4C.

mkuu hizo surname zinatosha kuwakimbiza wananchi pindi wajitokezapo.WOTE NI WACHUMIA TUMBO.
 
mkuu naelewa! Na kuanza na ww kama ni mwanaccm wenzangu na sisi tuanzishe hii movement ya kubadili matuzi mazuri ya ruzuku pia ni kuchochea mabadiliko ktk vichwa vya vijana wetu walolishwa sumu chafu na hao wahuni wanaojiita mkamanda kama lema na lissu, so kwa kufanya hii movement ninaamini chama chetu kitakwenda kurudi kama zamani.

Itakuwa vizuri if at all mnaamka after 50 yrs of being in power,ni wazo zuri bali umelipeleka kwny serikali sikivu isiyojua kutenda
 
Habari wanaccm wenzangu!
Najua tuna kazi nzito ya kukitokomeza chama mufilisi CDM ambacho kinajifanya ni cha wananchi kumbe ni cha watu wachache wenye maslahi binafsi ya kuatafuna ruzuku na kusubiri wakichukua nchi wafisadi rasilimali zetu.
MY TAKE
Naomba wanaccm wenzangu kuanzia humu jf na viongozi wote wa ccm tuanzishe na sisi m4% yetu ya kuitokomeza CDM na iendeshwe na viongozi wetu kama jmakamba, mrisho gambo, shigela, fred lowasa kilango malecela, sitta, na dk. Benson bana ndo awe kiongzoi wa hii M4C.
Wana CCM wenzangu tuamke. Jambo la msingi ni kuwa tunahitaji Tanzania safi na wala sisi CCM. KWANI UFISADI WOTE HUU SISI WANA ccm HATUONI? TUACHECHE UTOTO TUJENGE NCHI NA WALA SI CHAMA.
 
Back
Top Bottom