Mawaya ndo yanaamuaKwamba sasa Katibu Mkuu tayari ni makamu wa Rais hivyo ni kufanya replacement mapema!
mnamwonea tu!Kwamba sasa Katibu Mkuu tayari ni makamu wa Rais hivyo ni kufanya replacement mapema!
Dadako Ummy umemuita Chaumma?Kwamba sasa Katibu Mkuu tayari ni makamu wa Rais hivyo ni kufanya replacement mapema!
2026 hakuna kitu kinatokeaWasisahau ya 2021
Yatajirudia 2026
Yule Nchimbi naye akikataa reform yatajirudia 2031
Mpaka pale reform zitakapofanyika na nchi hii kupata Viongozi bure ili waje kututumikia bure
No reform no Election sio ajenda ya Chadema ni ajenda umma
Waendelee kushupaza shingo tu!!
2026- Ni mwaka wa namba Moja, tutashuhudia mambo mengi sana ya kiuongozi yakianza upya. Ni mwaka wa viongozi " leaders"2026 hakuna kitu kinatokea
naam mkuu, lakini kitendo cha rais kuondoka madarakani kimefanya miaka hii yote iwe mpera mpera,2026- Ni mwaka wa namba Moja, tutashuhudia mambo mengi sana ya kiuongozi yakianza upya. Ni mwaka wa viongozi " leaders"
Liko wazi hiloKwamba sasa Katibu Mkuu tayari ni makamu wa Rais hivyo ni kufanya replacement mapema!
Hii nayo ni mbinu za ushindiUnamfunga mpinzani mkuu halafu unafanya uchaguzi?. Ccm na makaburu hawana tofauti