mende 2014
JF-Expert Member
- Apr 13, 2014
- 763
- 131
Tafadhali usichukue uamuzi wa haraka kiasi hicho maana hata mama mwenye mtoto nadhani anajiuliza sana kuwa ana mkosi gani. Kumbuka mtoto wa kwanza alifariki wakakati akijifungua na yule wa Pili mimba iliharibika.
Fanya uchunguzi kupitia kwa madaktari ili waone kama kuna tatizo linalosababisha lasivyo utahisi kuwa kuna wachawi/mchawi.
Fanya uchunguzi kupitia kwa madaktari ili waone kama kuna tatizo linalosababisha lasivyo utahisi kuwa kuna wachawi/mchawi.