Jamani wameanza kuchakachua mapema majina yamechanganywa watu wanahangaika ovyo. Ila wanasema hawaondoki mpaka kieleweke. Mwamko upo wa hali ya juu. Mm nilikosa jina langu nimelia machozi. Kweli tunaonewa sana.
Jamani wameanza kuchakachua mapema majina yamechanganywa watu wanahangaika ovyo. Ila wanasema hawaondoki mpaka kieleweke. Mwamko upo wa hali ya juu. Mm nilikosa jina langu nimelia machozi. Kweli tunaonewa sana.
Jamani wameanza kuchakachua mapema majina yamechanganywa watu wanahangaika ovyo. Ila wanasema hawaondoki mpaka kieleweke. Mwamko upo wa hali ya juu. Mm nilikosa jina langu nimelia machozi. Kweli tunaonewa sana.
mkuu, attitude ikiwa ya kuonewa, utaonewa tu na utalia machozi mengi sana.... tuliza ball, tafuta jina, usivunje amani... usitukane au kulalama sana... be patiernt na utasaidiwa, kumbuka wasimamizi ni watu pia na hurumua wanayo
Jamani wameanza kuchakachua mapema majina yamechanganywa watu wanahangaika ovyo. Ila wanasema hawaondoki mpaka kieleweke. Mwamko upo wa hali ya juu. Mm nilikosa jina langu nimelia machozi. Kweli tunaonewa sana.
Bravo Brandon, that was a Golden Vote.
Sasa Rudisha majeshi nyuma usikae karibu na kituo wasije Green gurd wakaanzisha soo.
Usisahau kuwapa moyo watu wengine wote kuto kata tamaa.
Huwezi amini mpaka sasa ninaemjua ni Mbunge wangu na Rais wangu ila diwani mpaka sasa simjui. Ila sina shaka nijuacho ni kuwa kwa ngazi zote nawapa CHADEMA.
Safari za hapa na pale zimenifanya nisijue diwani halafu sikubadili kituo changu cha kupigia kura