Sema kituo gani na location mkuuJamani wameanza kuchakachua mapema majina yamechanganywa watu wanahangaika ovyo. Ila wanasema hawaondoki mpaka kieleweke. Mwamko upo wa hali ya juu. Mm nilikosa jina langu nimelia machozi. Kweli tunaonewa sana.
yeah right mkuu... hizi kauli mwamvuli zinaharibu sana aisee....Sema kituo gani na location mkuu
Brandon sema upo location gani?Sema kituo gani na location mkuu
mkuu, attitude ikiwa ya kuonewa, utaonewa tu na utalia machozi mengi sana.... tuliza ball, tafuta jina, usivunje amani... usitukane au kulalama sana... be patiernt na utasaidiwa, kumbuka wasimamizi ni watu pia na hurumua wanayoJamani wameanza kuchakachua mapema majina yamechanganywa watu wanahangaika ovyo. Ila wanasema hawaondoki mpaka kieleweke. Mwamko upo wa hali ya juu. Mm nilikosa jina langu nimelia machozi. Kweli tunaonewa sana.
Jamani wameanza kuchakachua mapema majina yamechanganywa watu wanahangaika ovyo. Ila wanasema hawaondoki mpaka kieleweke. Mwamko upo wa hali ya juu. Mm nilikosa jina langu nimelia machozi. Kweli tunaonewa sana.
Ubungo nhc. Watu hawaoni majina yao ni kuhangaika tu.
msikate tamaa... kama akina nyerere na kawawa wangekata tamaa .... leo usingekua hapoMajina nje yapo ila wanasema kitabu hakijafika eti wasubiri. Wengine wanaanza kukata tamaa.
msikate tamaa... Kama akina nyerere na kawawa wangekata tamaa .... Leo usingekua hapo
How did you resolve the issue?Wakuu, i have never felt useful in my life kama leo. Am so excited,nimeshampigia dr na mnyika kura. You know this is me first vote toka nizaliwe.
Am sooooo hapiii