Wambura Mtani wa RFA ameona mbali

Wambura Mtani wa RFA ameona mbali

jambo1

JF-Expert Member
Joined
Jul 5, 2009
Posts
241
Reaction score
29
Salaam,
Kwa wale wasikilizaji wa RFA watakiwa wanamfahamu mtangazaji mwenye hekima kubwa Ndugu Wambura Mtani,mara nyingi amekuwa akinishangaza sana katika kipindi cha Goodmorning Africa cha RFA katika segmentvya SOMO LA LEO kwani amekuwa akipindisha ukweli mfano amekuwa mkosoaji mkubwa wa Maandamano.
Lakini katika kipindi cha leo amefungua ukurasa mpya pale alipinga na kuonyesha udhaifu wa tume iliyoindwa kuchunguza kuporomoka kwa jengo DSM akidai kuwa tume imejaa watu ambao walipaswa kuchunguzwa.
Hoja yangu hapa kuwa Wambura Mtani amemaanisha kuwa hata TUME zinazoundwa na Serikali katika kuchunguza mambo mbalimbali si halali mfano TUME YA MAUAJI YA MWANGOSI,TUME YA KUTESWA KWA ULIMBOKA na tume nyingine za kisiasa.
Hivyo basi Wambura awe mkweli kwani ukiwa Muongo siku utasahau na Kujikuta umejizunguka..
Kwangu mimi naona kuwa Wambura Mtani amefungua ukurasa mpya na sasa abadike sasa na akosoe hata yale anayojifanya anayaona yako sahihi.
Yahya M mfikishie ujumbe huu..
Wasaaam
 
.ni mtangazaji mzuri na mara nyingi kwa kipindi chake huwa anazungumza ya maana sana .... labda haya ya maandamano ambayo wewe hupendi yapingwe na mwingine ....
 
Salaam,
Kwa wale wasikilizaji wa RFA watakiwa wanamfahamu mtangazaji mwenye hekima kubwa Ndugu Wambura Mtani,mara nyingi amekuwa akinishangaza sana katika kipindi cha Goodmorning Africa cha RFA katika segmentvya SOMO LA LEO kwani amekuwa akipindisha ukweli mfano amekuwa mkosoaji mkubwa wa Maandamano.
Lakini katika kipindi cha leo amefungua ukurasa mpya pale alipinga na kuonyesha udhaifu wa tume iliyoindwa kuchunguza kuporomoka kwa jengo DSM akidai kuwa tume imejaa watu ambao walipaswa kuchunguzwa.
Hoja yangu hapa kuwa Wambura Mtani amemaanisha kuwa hata TUME zinazoundwa na Serikali katika kuchunguza mambo mbalimbali si halali mfano TUME YA MAUAJI YA MWANGOSI,TUME YA KUTESWA KWA ULIMBOKA na tume nyingine za kisiasa.
Hivyo basi Wambura awe mkweli kwani ukiwa Muongo siku utasahau na Kujikuta umejizunguka..
Kwangu mimi naona kuwa Wambura Mtani amefungua ukurasa mpya na sasa abadike sasa na akosoe hata yale anayojifanya anayaona yako sahihi.
Yahya M mfikishie ujumbe huu..
Wasaaam
Hayo ya rangi nyekundu kaongea yeye au ni ya kwako?Kwa nini mnapenda kuongeza maneno na kuharibu maana ya mada ya mtu?Just confine to what he had said
 
Halafu mleta mada ni kama sijakuelewa vile...
Mara useme wabura ameona mbali,mara useme anapinga maandamano,mara useme awe mkweli,mara useme ajiangalie asijejikuta anajizunguka mwenyewe.. Point yako hapa nini hasa?!
 
Halafu mleta mada ni kama sijakuelewa vile...
Mara useme wabura ameona mbali,mara useme anapinga maandamano,mara useme awe mkweli,mara useme ajiangalie asijejikuta anajizunguka mwenyewe.. Point yako hapa nini hasa?!

well kivyovyote vile lakin nilichokisema ni kwamba wakati mwingine huwa anapinga vitu ambavyo.ndani ya jamii vina ukweli na masrahi..
 
Hayo ya rangi nyekundu kaongea yeye au ni ya kwako?Kwa nini mnapenda kuongeza maneno na kuharibu maana ya mada ya mtu?Just confine to what he had said

Yeye amesema tume ya kuchunguza jengo lilidondoka ina watu ambao walipaswa kuchunguzwa..sasa tujiulize tume ya polisi ya kuchunguza mauaji ya mwangosi ni halali..?
coz kuna wakati alikuwa akisifu jeshi la polisi na namna wanavyotenda kazi na kuwaponda wanasiasa,bila kuzingatia kuwa kila kitu ni siasa.
 
.ni mtangazaji mzuri na mara nyingi kwa kipindi chake huwa anazungumza ya maana sana .... labda haya ya maandamano ambayo wewe hupendi yapingwe na mwingine ....

Yah na mimi pia namkubali sana na huwa anaongea mambo ya msingi sana..lakin wakat mwingine huwa hatend sawa mfano mauaji yakifanywa a Polisi kwenye maandamo yeye analaumu wanasiasa..
 
Ananiudhigi anaposemaga "msg send", akiwa kwenye kipindi cha Je huu ni uungwana?
 
Ha wapi mi simwamini kabisa subiri kesho. Huyo fiftyfifty anacheki upepo.
 
Mie ni msikilizaji wake mzuri wa kipindi hiki but kinachonikera ni kulalamika, analalamika sana sidhani hiyo ndo njia sahihi ya kufikisha ujumbe kwa mhusika
 
Duh hiyo RFA wanashangaza kuendelea kutangaza wakati mikoani 'transmitters' zime(na)kufa na hawabadilishi!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom