Bia yetu
JF-Expert Member
- Apr 14, 2020
- 6,923
- 8,314
Wananchi wa kawaida wa USA na viongozi wa kisiasa wamshukia kama mwewe Waziri wa kigeni mambo ya kigeni wa USA bwana mike pompeo.
Pompeo ambaye anaonekana hajui chochote kuhusu Africa, wamarekani wamemwambia.
Africa sio Nchi, shughulikia kwanza Uchaguzi wa USA.
Wamemwambia inakuaje unafuatilia Uchaguzi wa Africa wakati Uchaguzi wa USA unakasaro nyingi?
Soma mwenyewe retweet alizokuwa anapewa vidonge vyake.
Pompeo atajuta.
Pompeo ambaye anaonekana hajui chochote kuhusu Africa, wamarekani wamemwambia.
Africa sio Nchi, shughulikia kwanza Uchaguzi wa USA.
Wamemwambia inakuaje unafuatilia Uchaguzi wa Africa wakati Uchaguzi wa USA unakasaro nyingi?
Soma mwenyewe retweet alizokuwa anapewa vidonge vyake.
Pompeo atajuta.