MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 33,570
- 53,584
Yaani nimepitia runinga za nchi tofauti naona zote zipo live kuhusu uchaguzi wa Marekani.
Kwetu Kenya, naona hata Tanzania ITV wapo live Marekani. Mitandao yoke ya kijamii haijasazwa pia.
Ifike tukubali hawa wanaimilki hii dunia.
Hata nchi za Waarabu wote wanafuatilia live.
Kwetu Kenya, naona hata Tanzania ITV wapo live Marekani. Mitandao yoke ya kijamii haijasazwa pia.
Ifike tukubali hawa wanaimilki hii dunia.
Hata nchi za Waarabu wote wanafuatilia live.