Wamakonde ni noma


hahaha baba sifa zipo nchi nzima lakina wamakonde mmezidi mara mia.pole sanaaa babaa.
 
Uchichimame wala uchikae. Uchiheme wala uchicheme la chivyo naachia nchale.
 


kumbe na wewe ni mmakonde! mtanio huyo unalalamika nn??
 

Jock ni nzuri sana ila inaleta ukabila so ni vyema kucreate utami usiokuwa na ubaguzi wa dini wala kabila
 
No, yupo sahihi ni kichekesho tu, sio ukabila bana.
 
Chitupidi kabicha ! Unantania Nyerere wa awamu ya tatu ?!
Hii chi chawa..........
(Nyerere = raisi ).
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…