Nimekua ktk mahusiano kadhaa na mabinti wakilokole,tulipokua tunaanzana walinilazimisha kuokoka,nlifanya ivo ili kuongeza maombi,tatizo linakuja pale unapobaini mwenzi wako n mwongo na mnafiki.Hawa watu cjui ulokole wao uko wapi..mana visa nlofanyiwa cwez eleza hapa..majemedar wenzangu mnatumia mbinu zipi kushinda vita? Naruhusu mapofuu ya omo pia!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilitaka nikomenti , ila umeyawakilisha mawazo yangu vyema.Muulize huyo anapokwama,usitujumlishe walokole wote km waongo
Kuokoka sio guarantee kwamba hutatenda dhambi ama kujaribiwa na shetani
Halafu pia hiyo Ni tabia ya mtu binafsi..kwanini ugroup walokole wote km wanafiki kwa sababu tu ya huyo mmoja?
Sent using Jamii Forums mobile app
Amen dearNilitaka nikomenti , ila umeyawakilisha mawazo yangu vyema.
Yesu asifiwe!
Sent using Jamii Forums mobile app
ume date na wa wanawake 5 hujapata hata mmoja? tatzo ni wewe mwenyeweusisumbue watuNisamehe bure! Ila wote 5 nlodate nao ni wanafiki wakutupwa! Cjui ww!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli mkuu walokole wengi wamechanganikiwa, ukimtongoza tuu kitu chakwanza anataka uende kanisani kwao, ukishaenda kanisani kwao jiandae kwa mapicha picha, kuna moja nilimtongoza akaniambia niende kanisani kwao mzee mzima nikajitosa, he baadae akaniambia niakawaone wazee wakanisa niwaeleze kuwa nampenda yeye, ha! Nilimtukana matusi ya nguoni
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukweli ni kuwa walokole wengi wao ni watu wa hovyo sana,.ni wanafki,wanakiburi,majivuno,majungu,waanajisikia...kiufupi wana roho ya mpinga kristo mnoMuulize huyo anapokwama,usitujumlishe walokole wote km waongo
Kuokoka sio guarantee kwamba hutatenda dhambi ama kujaribiwa na shetani
Halafu pia hiyo Ni tabia ya mtu binafsi..kwanini ugroup walokole wote km wanafiki kwa sababu tu ya huyo mmoja?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli mkuu walokole wengi wamechanganikiwa, ukimtongoza tuu kitu chakwanza anataka uende kanisani kwao, ukishaenda kanisani kwao jiandae kwa mapicha picha, kuna moja nilimtongoza akaniambia niende kanisani kwao mzee mzima nikajitosa, he baadae akaniambia niakawaone wazee wakanisa niwaeleze kuwa nampenda yeye, ha! Nilimtukana matusi ya nguoni
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo nyegez mkuu..wala mimi simoUlipaswa kujua maana ya wokovu ndio ungeleta uzi humu,inavyoonyesha hao hawakuwa walokole bali wamejificha kwenye ulokole kwa sababu wanazozijua wenyewe NA hata wewe mwenyewe ulivyoshawishiwa kuokoka uliokoka kwa sababu zako binafsi ndio maana hizo vita ulizokumbana nazo zikakushinda...
Viswaswadu tu! Wote sim za maboya kila saa!Duh unasema na wewe uliokoka...uka-date na walokole watano!!!!
Si ajabu tatizo liko kwako kwa kudhani walokole Ni malaika na ukashindwa kusimama kwenye zamu yako. Unaona mapungufu ya hao wa5 halafu wewe upo perfect!!!!
Mkuu ntamalizia kusoma kesho! Ndef sanaYohana 17:17
Uwatakase kwa ile kweli; neno lako ndiyo kweli.
warumi 12 :1-2
Basi, ndugu zangu, nawasihi, kwa huruma zake Mungu, itoeni miili yenu iwe dhabihu iliyo hai, takatifu, ya kumpendeza Mungu, ndiyo ibada yenu yenye maana.
Wala msiifuatishe namna ya dunia hii; bali mgeuzwe kwa kufanywa upya nia zenu, mpate kujua hakika mapenzi ya Mungu yaliyo mema, ya kumpendeza, na ukamilifu.
Waefeso 4 : 13-15
Hata na sisi sote tutakapoufikia umoja wa imani na kumfahamu sana Mwana wa Mungu, hata kuwa mtu mkamilifu, hata kufika kwenye cheo cha kimo cha utimilifu wa Kristo; ili tusiwe tena watoto wachanga, tukitupwa huku na huku, na kuchukuliwa na kila upepo wa elimu, kwa hila ya watu, kwa ujanja, tukizifuata njia za udanganyifu. Lakini tuishike kweli katika upendo na kukua hata tumfikie yeye katika yote, yeye aliye kichwa, Kristo.
----------------------------------------------------------------------------------------------------------------------
Kwa mistari hiyo hapo juu utaona kwamba baada ya mtu kuokoka anatakiwa asome Neno la Mungu (Biblia) ili kuigeuza nafsi (Battle field) yake iliyokuwa hapo awali inatumika kwa mambo ya giza. Hili zoezi linachukua muda kulingana na jinsi mtu alivyodhamiria kumfuata Kristo. Hata hivyo niseme tu kwamba hao mabinti waliokuvuta kanisani ili yamkini uwaoe baadaye wanaweza kuwa genuine (wakristo wa kweli) walio desperate kuolewa au wasiokoka waliopo kanisani ambao wanajaribu wanajaribu kutumia mwavuli wa kanisa kuolewa. Ningefurahi kama ungedadavua kwa kirefu ulichomaanisha uliposema mna mahusiano.
Ahsante
kwanza mtu kaokoka halafu anakuvulia chupi kirahisi, we uoni hapo ndio unafiki ulipoanzia.
Tarizo nyegezi mkuu! Hizi hazina chama!!kwanza mtu kaokoka halafu anakuvulia chupi kirahisi, we uoni hapo ndio unafiki ulipoanzia.