if this is the argument to go by, the current globalization is killing more than you just mention. Just image the North Mara sagga, the Bulyankuru issues, to mention few. the imperialists' regimes never want a person who wants to liberate the mind of the enslaved. Remember, freedom is a matter of death and life and not a given gift on the golden plate.-Kassim Hanga
-Sheikh Othman Sharif
-Dk. Kleruu
-Many of the villagization process victims where the bulk of this accusation is stemming from.Nyerere may not have killed a significant number of people directly, but his policies and mediocrity resulted in the deaths of so many, probably in the million range if not hundred of thousands. We may never know for sure the exact figure due to the nature of the secrecy of the era.
See Pratt, Cranford (1999). "Julius Nyerere: Reflections on the Legacy of his Socialism". Canadian Journal of African Studies 33 (1): 137 52. doi:10.2307/486390
taja mwaka 1990's ....maana mwinyi c katawala mpaka 1990's mkuu au
acha kutudanganya dr kleruu aliuliwa na mkulima wa kawaida tu!tena akiwa nyumbani kwake na baada ya huyo mkulima kumuua dr kleruu alimpakia kwenye land rover akaburuza mwili mpaka kituo cha polisi na kujitaja mwenyewe kuwa amemuua dr kleruu!uliza wanaojua historia ya mji wa iringa watakwambia.
mbona umenichanganya mkuu hebu weka sawa hapa!labda anamhusisha mwalimu in the fact that mwalimu ndio aliidhinisha kifo cha Dr kleruu kwa kusaini hati iliyoidhinisha kunyongwa kwa mkulima Said Mwamindi,bila kukumbuka kua mwalimu alikua under pressure ya wakuu wa mikoa wa kipindi hicho waliotaka mwalimu aidhinishe kunyongwa baada ya mahakama kumhukumu hivyo ili iwe fundisho kwa wengine.
mbona umenichanganya mkuu hebu weka sawa hapa!
i mean baada ya mahakama kumtia hatiani mkulima said mwamindi kwa mauaji ya Dr Kleruu,ili mtu anyongwe ni lazima raisi asaini otherwise hutanyongwa,so mwalimu alisaini thats why Mwamindi akanyongwa
sasa hapo nyerere alimuuaje dr kleruu mkuu?
Adili,JokaKuu umechemsha,
Mwalimu aliamuru wanafunzi watandikwe bakora. Cha ajabu kipi hapo?
Nani alikwambia mwanafunzi wa chuo kikuu hachapwi bakora akichemsha? Basi hata jera asiswekwe akipatikana na hatia - maana yeye ni mwanafunzi wa choo kikuu.
Hapana bana, binafsi nimeenda JKT 1990's utawala wa Mkapa. Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni!
Nilishawahi kusema hapa, this hoopla about ujamaa na kujitegemea is hogwash, a contradiction at best.
Hakuna ideology inayoweza kutekelezeka katika a mass scale bila ya kuwa personalized kwa individuals.Ideologies zote kubwa zinaweza kuwa reduced and practiced na individuals. Huwezi kusema mimi ni mkristo katika congregation yangu Jumapili lakini nikirudi nyumbani sina dini, utakuwa unadanganya watu, kama wewe unashiriki congregation ya wakristo, unasali, unakiri imani, unatakiwa uweze ku practice ukristo huu individually,Vivyo hivyo katika ujamaa na kujitegemea, hatuwezi kuwa nchi ya "ujamaa na kujitegemea" wakati hata mmoja wetu at the individual level hawezi ku practice ujamaa na kujitegemea, kwa sababu the two are mutually exclusive.Like oil and water they never mix.
Sasa tuambieni ujamaa na kujitegemea utau practice vipi at the individual level.
Msingi wa ujamaa ni kufanya vitu pamoja, in essence kutegemeana.
Msingin wa kujitegemea ni kufanya vitu mwenyewe uwe self sufficient.
The two are mutually exclusive and cannot be practiced together, kwa hiyo hizo zilikuwa ni hoopla tu za Nyerere zilizojaa kwenye idealism na vitabu lakini hazikuwa practical. Ndiyo maana tume fail kiuchumi.
Aah wapi! hawa mafisadi wote wanaotusumbua sasa hivi wamepitia JKT. Na kama kuna mtu leo hii anaamini kuwa wanafunzi wakilazimishwa kwenda JKT basi tatizo la ukosefu wa uzalendo litaisha basi atakuwa ana matatizo makubwa sana kwenye uwezo wake wa kufikiri na kutafakari.
Siyo kweli. JKT ilikufa mwaka 1994