MZEE MSASAMBEGU
JF-Expert Member
- Apr 19, 2013
- 2,780
- 2,547
Ndo mana nimekwambia humu usidhani kila mtu ni mtoto unaweza mdanganya hivi vitu mnavyoandika humu muwe mnawadanganya wadogo zenu waliopo chuo huko...ndo mana nimekwambia huo mshahara ni mkubwa sana pili ni mdogo sana...ni mkubwa sana kama hutabweteka utajitahidi kufanya saving na kuwekeza katika fursa mbalimbali...ni mdogo sana kama utaendelea kuongea maneno ya shombo kwa wengine na kuridhika umevaa tai mchana kutwa pasipo kufikirisha akili zako na nguvu zako katika kuwekeza kwenye fursa mbalimbali...any way na sisi tulivyokua tunaanza ajira tulikuwa tunajiona kama wewe unavyojiona sahivi...but sahivi tumekuwa wanyenyekevu na tunajifunza kila siku vitu vidogodogo vingine hata kwa watu walioishia darasa la saba cku moja tutoke huku twende kujiajiriAsiyejua maana haambiwi maana, staffs wa TRA wataelewa. Siwezi kuweka taarifa zozote za mamlaka hapa. Kamwe.