Waliosoma Weruweru watamba kutoa rais wa kwanza nchini

Waliosoma Weruweru watamba kutoa rais wa kwanza nchini

Balozi Maajar namkubali sana ni kiongozi mzuri, lakini Asha Migiro hafai hata kuwa balozi wa nyumba kumi. Dr. Migiro ni product ya CCM, kama Getrude Mongera na Ann Makinda ambao wote ni majanga

Correction: Anaitwa Getrude Mongella na sio Mongera. Anna Makinda na sio Ann.
 
Sioni tofauti yoyote kati ya Mwanaidi Maajar na hao wengine. Kama kigezo ni kuwa 'product' ya CCM, basi wote uliowataja ni majanga... Sipingi kuwa na mwanamke Rais, ila sijaridhishwa na yeyote kati ya hao. Huenda siku zijazo tutapata wanawake kwenye nafasi hiyo, lakini sidhani kama tutapata mama mwenye vigezo hivyo hivi karibuni. Wote wamejikita kwenye siasa za vyama na mipasho badala ya kuweka utaifa mbele. Wameacha hata kumtetea mwanamke wa kitanzania na kuweka maslahi yao binafsi mbele. Katika hao wote hakuna hata anayestahili kupendekezwa. Waendelee kupigana vijembe na Sophia Simba kwenye Jumuia yao UWT ambayo imeshindwa hata kumkomboa mwanamke wa kijijini. Wamebaki kushindanisha sura, mavazi na mipasho!

If that is the case, let us propose Ananilea Nkya to be our female 1st president, what do you say?
 
Sioni tofauti yoyote kati ya Mwanaidi Maajar na hao wengine. Kama kigezo ni kuwa 'product' ya CCM, basi wote uliowataja ni majanga... Sipingi kuwa na mwanamke Rais, ila sijaridhishwa na yeyote kati ya hao. Huenda siku zijazo tutapata wanawake kwenye nafasi hiyo, lakini sidhani kama tutapata mama mwenye vigezo hivyo hivi karibuni. Wote wamejikita kwenye siasa za vyama na mipasho badala ya kuweka utaifa mbele. Wameacha hata kumtetea mwanamke wa kitanzania na kuweka maslahi yao binafsi mbele. Katika hao wote hakuna hata anayestahili kupendekezwa. Waendelee kupigana vijembe na Sophia Simba kwenye Jumuia yao UWT ambayo imeshindwa hata kumkomboa mwanamke wa kijijini. Wamebaki kushindanisha sura, mavazi na mipasho!
Mama Maajar ni x50 better than Migiro/Mongela/Tibaijuka na Makinda, lakini sina imani na CCM. Kama Mama Maajar atagomea ubunge against Shibuda, nitampa Balozi Maajar. Migiro akigombee ubunge against Leticia Nyerere, sitoenda kupiga kura kabisaa
 
Watanzania kuna kitu tunasahau,hii nchi ni kama kichwa cha mwendawazimu,any tom,dick and harry can lead this country-with the exception of Nyerere hawa wengine wote wako in the same boat- be it migiro,maajar,memba or Lowassa wote wako on equal footing in other words none of them would make any difference
 
Mimi kama mwanamke hata akigombea mwanamke gani kwa nafasi ya urahisi siwezi kumpa kura. Makinda mwenyewe bunge limemshinda. Akipewa uraisi je? Majanga!!
 
Mimi kama mwanamke hata akigombea mwanamke gani kwa nafasi ya urahisi siwezi kumpa kura. Makinda mwenyewe bunge limemshinda. Akipewa uraisi je? Majanga!!
KUSHINDWA sio hoja mbona Kikwete nchi imemshinda na anapeta
 
They are just daydreaming. Women have no place in high-level politics in this country. They should be satisfied with the positions they get in the cabinet and other government organizations. But leading the country? No, let's continue to leave that responsibility in the hands of males.

let them stay in the kitchen
 
Hawataki tena kuwa responsible na nature yao wanataka kila kitu wafanye, kwanini tusiwaachie dunia waendeleze wao ktk nyanja zote??
 
They are just daydreaming. Women have no place in high-level politics in this country. They should be satisfied with the positions they get in the cabinet and other government organizations. But leading the country? No, let's continue to leave that responsibility in the hands of males.


let them stay in the kitchen
Derogatory comments
 
Mmeshindwa udini na ukabila mmeanza ushule tukianza hapo mnatukumbusha namna shule hiyo ilivyopewa upendeleo wa pekee na serikali kanakwamba waliokuwa wakisoma katika shule zingine hawakuwa Watanzania ila ninyi. Kama olodha mliyoitaja ilisoma katika shule hiyo sioni jambo spercial kwenu labda muonyeshe mlichofanyia nchi hii huku mkikumbuka kuwa urais ni uwezo na si collective effort ya shule au chuo fulani alichosoma mtu. Kwani mlisoma syllabus tofauti na waliosoma Songea girls, Kilakala, Tosamaganga, Tabora boys au Musoma sec?
 
If that is the case, let us propose Ananilea Nkya to be our female 1st president, what do you say?

Bora rais wetu awe Nsia Swai au Josephine wa padri mzinzi. Ray C and Lady jay D nao pia wanafaa. Ingawa chaguo langu ni kati ya aisha madinda na mange kimambi.
 
They are just daydreaming. Women have no place in high-level politics in this country. They should be satisfied with the positions they get in the cabinet and other government organizations. But leading the country? No, let's continue to leave that responsibility in the hands of males.

What did you mean!? cjakusoma kabisa hapo
 
Marekenisho: R.Migiro alikuwa naibu katibu mkuu c katbu mkuu km mtoa mada ulivyoandika
 
labda mama Kahm awe kafariki, anawajua wanafunzi wake wote..kuanzia wajinga wajinga hadi wenye akili..waliopo ktk madara wote ni wajinga wajinga...


Waliosoma weruweru wote ni vimeo,waliosoma asumpta ndio walikuwa vichwa......
 
Kwa mwanamke kuwa rais hapana.... Mfano mdogo 2 amepewa makinda uspika ona majanga, ndo 2wape na urais...?? Acha 2 waendelee vit maalum....
 
Back
Top Bottom