Waliosoma na wanaosoma vyuo vikuu uganda

pharmast

Member
Joined
Sep 8, 2024
Posts
55
Reaction score
107
Habari wakuu nilikuwa na uliza hivi Kwa haya matokeo ya physics-S, chemistry -D na biology -C a level anaweza soma banchelor of science in nursing Uganda na akirudi Tanzania akatambuliwa na TCU degree yake,naomba msaada kwa wenye uzoefu na hayo mambo
 
Pitia guide book.

Inataka minimum E kwa physics
Wanataka minimum D kaka Kwa TCU, (3 principle pass )lakini sijajua Kwa nje ya nchi kama uganda ukiwa na E je TCU watakuruhusu ukasome na ukirudi Tanzania wataikubali degree.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…