Edson Zephania
JF-Expert Member
- Apr 8, 2011
- 517
- 112
Dah nasikia Mwl kulwa yule mtaalam wa hesabu na mashoto alikufa macho sababu ya fegi
umenikumbusha mbali sana, machozi yanataka kunitoka, sijui kama ile mikorosho ipio???
jamani wana jamvini, je mpo mliosoma Chang'ombe Primary School? shule ya mazoezi ya Chuo cha Ualimu Chang'ombe ambacho sasa ni Chuo Kishiriki cha U Dar, hebu tuwakumbuke baadhi ya walimu ambao walitufanya leo "To walk tall". Hawa ni baadhi:-
Mwl Kirwanda
Mwl Shilatu
Mwl Matanyanga
Mwl Ndanshau (Mrs)
Mwl Baruti (Mrs)
Mwl Ngonyani (Mrs)
Mwl Taratibu (Mr and Mrs)
Mwl Matemu
Mwl Kyulule (Mrs)
Mwl Rwechungura (Mrs)
Mwl Bituro (Mrs)
Mwl Josephine Mahiga
Mwl Nkane nk nk
Wana jamvi endeleeni na list, JE WAKO WAPI NA WANAFANYA NINI? TUJUZANE NIMWKUMBUKA MWAKA ARUBAINI NA SABA!!!!! those good old days, uji wa buruga, daftari vitabu mnapewa shuleni nk nk nk