Walioruhusu Yanga kupitia geti lisilo rasmi wawajibishwe mara moja kwani ndio wanaochangia kuharibu miundombinu ya uwanja

1979Magufuli

JF-Expert Member
Feb 20, 2023
439
1,756
Uwanja wa Taifa ni juzi tu umetoka kukarabatiwa na sasa uko kwenye kiwango, hakuna ubishi kuwa gharama kubwa imetumika kukarabati uwanja huo na kuuletea heshima kubwa nchi.

Sasa Leo inaonekana mitandaoni kuwa Yanga wametumia geti lisilo rasmi kuingia uwanjani ili kucheza na Simba, imani zao za kijinga kuwa wamerogwa na wakipita sehemu ya kawaida watafungwa, hii ndio timu inayojinasibu kuwa ni professional, ni timu ambayo mwenyekiti wake ameonekana akiwaswalisha wachezaji wake ili kukidhi masharti ya waganga, yaani kiongozi mkubwa wa utopolo anatumwa na waganga kuswalisha wachezaji ili tu kuifunga Simba!

Swali langu, nani amewafungulia Utopolo geti lisilo rasmi wakati inajulikana kabisa kuwa wote tunatakiwa kupita geti moja? Hamuoni huo ni uharibifu wa uwanja? Walipata wapi ufunguo? Nani alikuwa na mawasiliano na uongozi wa uwanja? Kwanini vitendo hivi vinajirudia mara kwa mara licha ya adhabu kali kutolewa?
 
Wapi picha tuone walivyokuwa wakiswali
Uwanja wa Taifa ni juzi tu umetoka kukarabatiwa na sasa uko kwenye kiwango, hakuna ubishi kuwa gharama kubwa imetumika kukarabati uwanja huo na kuuletea heshima kubwa nchi.

Sasa Leo inaonekana mitandaoni kuwa Yanga wametumia geti lisilo rasmi kuingia uwanjani ili kucheza na Simba, imani zao za kijinga kuwa wamerogwa na wakipita sehemu ya kawaida watafungwa, hii ndio timu inayojinasibu kuwa ni professional, ni timu ambayo mwenyekiti wake ameonekana akiwaswalisha wachezaji wake ili kukidhi masharti ya waganga, yaan kiongozi mkubwa wa utopolo anatumwa na waganga kuswalisha wachezaji ili tu kuifunga Simba!

Swali langu nani amewafungulia Utopolo geti lisilo rasmi wakati inajulikana kabisa kuwa wote tunatakiwa kupita geti moja? Hamuoni huo ni uharibifu wa uwanja? Walipata wapi ufunguo? Nani alikuwa na mawasiliano na uongozi wa uwanja? Kwann vitendo hivi vinajirudia mara kwa mara licha ya adhabu kali kutolewa?
 
Uwanja wa Taifa ni juzi tu umetoka kukarabatiwa na sasa uko kwenye kiwango, hakuna ubishi kuwa gharama kubwa imetumika kukarabati uwanja huo na kuuletea heshima kubwa nchi.

Sasa Leo inaonekana mitandaoni kuwa Yanga wametumia geti lisilo rasmi kuingia uwanjani ili kucheza na Simba, imani zao za kijinga kuwa wamerogwa na wakipita sehemu ya kawaida watafungwa, hii ndio timu inayojinasibu kuwa ni professional, ni timu ambayo mwenyekiti wake ameonekana akiwaswalisha wachezaji wake ili kukidhi masharti ya waganga, yaan kiongozi mkubwa wa utopolo anatumwa na waganga kuswalisha wachezaji ili tu kuifunga Simba!

Swali langu nani amewafungulia Utopolo geti lisilo rasmi wakati inajulikana kabisa kuwa wote tunatakiwa kupita geti moja? Hamuoni huo ni uharibifu wa uwanja? Walipata wapi ufunguo? Nani alikuwa na mawasiliano na uongozi wa uwanja? Kwann vitendo hivi vinajirudia mara kwa mara licha ya adhabu kali kutolewa?
Pole sana gate nalo nongwa waaambie hao...
Wapite hapo nao
 
Sasa Leo inaonekana mitandaoni kuwa Yanga wametumia geti lisilo rasmi kuingia uwanjani ili kucheza na Simba, imani zao za kijinga kuwa wamerogwa na wakipita sehemu ya kawaida watafungwa, hii ndio timu inayojinasibu kuwa ni professional, ni timu ambayo mwenyekiti wake ameonekana akiwaswalisha wachezaji wake ili kukidhi masharti ya waganga, yaan kiongozi mkubwa wa utopolo anatumwa na waganga kuswalisha wachezaji ili tu kuifunga Simba!
Clip tafadhali
 
Uwanja wa Taifa ni juzi tu umetoka kukarabatiwa na sasa uko kwenye kiwango, hakuna ubishi kuwa gharama kubwa imetumika kukarabati uwanja huo na kuuletea heshima kubwa nchi.

Sasa Leo inaonekana mitandaoni kuwa Yanga wametumia geti lisilo rasmi kuingia uwanjani ili kucheza na Simba, imani zao za kijinga kuwa wamerogwa na wakipita sehemu ya kawaida watafungwa, hii ndio timu inayojinasibu kuwa ni professional, ni timu ambayo mwenyekiti wake ameonekana akiwaswalisha wachezaji wake ili kukidhi masharti ya waganga, yaani kiongozi mkubwa wa utopolo anatumwa na waganga kuswalisha wachezaji ili tu kuifunga Simba!

Swali langu, nani amewafungulia Utopolo geti lisilo rasmi wakati inajulikana kabisa kuwa wote tunatakiwa kupita geti moja? Hamuoni huo ni uharibifu wa uwanja? Walipata wapi ufunguo? Nani alikuwa na mawasiliano na uongozi wa uwanja? Kwanini vitendo hivi vinajirudia mara kwa mara licha ya adhabu kali kutolewa?
Yanga inaongozwa na rais wewe. Hakuna Mwenyekiti wa Yanga. Halafu huo uharibifu wa uwanja unatokeaje kwa hao Yanga kupita geti lingine?
 
Punguza hasira mkuu..mwambie comweledi makonda...aanze kuhesabu ng'ombe walionona.
 
Yaani watu wanafanya makosa makusudi kwa kusema kama faini tutalipa...TFF wangepitia adhabu vizuri ili next time watu waheshimu
Wakulaumiwa ni wasimamizi wa mpira!! Hivi kweli faini ingekuwa milioni 100!!wangekuwa wanafanya ujinga huo?
 
Uwanja wa Taifa ni juzi tu umetoka kukarabatiwa na sasa uko kwenye kiwango, hakuna ubishi kuwa gharama kubwa imetumika kukarabati uwanja huo na kuuletea heshima kubwa nchi.

Sasa Leo inaonekana mitandaoni kuwa Yanga wametumia geti lisilo rasmi kuingia uwanjani ili kucheza na Simba, imani zao za kijinga kuwa wamerogwa na wakipita sehemu ya kawaida watafungwa, hii ndio timu inayojinasibu kuwa ni professional, ni timu ambayo mwenyekiti wake ameonekana akiwaswalisha wachezaji wake ili kukidhi masharti ya waganga, yaani kiongozi mkubwa wa utopolo anatumwa na waganga kuswalisha wachezaji ili tu kuifunga Simba!

Swali langu, nani amewafungulia Utopolo geti lisilo rasmi wakati inajulikana kabisa kuwa wote tunatakiwa kupita geti moja? Hamuoni huo ni uharibifu wa uwanja? Walipata wapi ufunguo? Nani alikuwa na mawasiliano na uongozi wa uwanja? Kwanini vitendo hivi vinajirudia mara kwa mara licha ya adhabu kali kutolewa?
Nakubaliana na hoja ya kuadhibu walioruhusu lakini kuswalisha unaingilia Imani za watu.
 
Back
Top Bottom