Abuwhythum
JF-Expert Member
- Jan 7, 2015
- 837
- 495
Reseater ambaye amefaulu vizuri, baada ya kurudia mitihani saba na kufaulu vizuri kwa kupata cheti kipya anachaguliwa kujiunga na kidato cha tano shule za serikali au ni lazima asome shule binafsi?
Inategemeana na umri alionao mtahiniwa! Lakini kuna wakati Serikali ilitoa muongozo kwamba wanaopitia kufanya mitihani kwa kurudia wapitie njia ya shule binafsi au mitihani binafsi.Reseater ambaye amefaulu vizuri, baada ya kurudia mitihani saba na kufaulu vizuri kwa kupata cheti kipya anachaguliwa kujiunga na kidato cha tano shule za serikali au ni lazima asome shule binafsi?
Age matters ila sana sana ua wanaenda soma private.Reseater ambaye amefaulu vizuri, baada ya kurudia mitihani saba na kufaulu vizuri kwa kupata cheti kipya anachaguliwa kujiunga na kidato cha tano shule za serikali au ni lazima asome shule binafsi?
Lazima aende private selikar hawez chaguliwa ni kama wale wanao soma mfumo wa QTsReseater ambaye amefaulu vizuri, baada ya kurudia mitihani saba na kufaulu vizuri kwa kupata cheti kipya anachaguliwa kujiunga na kidato cha tano shule za serikali au ni lazima asome shule binafsi?