tonicimmobility
JF-Expert Member
- Jun 17, 2025
- 493
- 1,038
Kwa asilimia kubwa wachezaji wa Simba na Yanga waliopo katika kikosi cha Taifa Stars kinachoshiriki michuano ya CHAN huenda wakaukosa mchezo wa ngao ya Jamii utakaopigwa Septemba 16
Soma pia: Yanga kucheza na Simba Ngao ya Jamii
Soma pia: Yanga kucheza na Simba Ngao ya Jamii