Arusha Leo
Senior Member
- Mar 12, 2012
- 120
- 72
Makada wa CCM watatu (3) waliopinga Mahakamani matokeo ya Ubunge wa Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema, (CHADEMA), mmoja wao Happy Kivuyo akiwa na wenzake 7, jana katika mkutano wa hadhara wa mgombea udiwani kata ya Osunyai Jirusha jini Arusha wametangaza kuhihama chama hicho na kujiunga na Chadema.
Ameeleza kuwa walinunuliwa na makada wa CCM ili watoe ushahidi wa uongo Mahakamani.
Ameeleza kuwa walinunuliwa na makada wa CCM ili watoe ushahidi wa uongo Mahakamani.