Ndugu wanajamvi! Napenda kuulizia kama kuna watumishi (walimu sekondari) walioajiriwa 2011,na wanastahili kupanda madaraja na hawajapanda?.Je kuna watumishi ambao wamepandishwa madaraja kwa wale waajiliwa wa 2011?
Ndugu wanajamvi! Napenda kuulizia kama kuna watumishi (walimu sekondari) walioajiriwa 2011,na wanastahili kupanda madaraja na hawajapanda?.Je kuna watumishi ambao wamepandishwa madaraja kwa wale waajiliwa wa 2011?
Halmashauri Nyingi Bado, Huku Mtwara H/shauri Zote Bado Tunazeekea Na Kustaafia Madaraja Tuloajiriwa Nayo, Hasira Zote Nahamishia Kwenye Kisanduku Cha Kura Octoba, Ukawa Hata Wangesimamisha Jiwe Nawapa.