Mimi nadhani itungwe kanuni maalum kuwaruhusu hawa wanaojiita waheshimiwa kushikishana adabu kwa kutwangana kwa mangumi bila kutumia silaha yoye pale wanapotofautiana. Mimi huwa sipendi kuona watu wazima wanatishiana kupigana halafu mwishowe wanaishia kutupiana maneno kama walevi.