Walioitwa usahili Utumishi, TanTrade

Walioitwa usahili Utumishi, TanTrade

YATC

Member
Joined
Jan 21, 2015
Posts
77
Reaction score
19
binafsi ni mara yangu ya kwanza kuitwa na sekretarieti ya ajira, najua wapo wazoefu humu ndani walio kazii, walio wahi kuitwa na wengine wengi...hebu tupeane uzoefu interview za hawa jamaa zimekaaje.possible areas na vitu kama ivo..niko market research officer...
 
kuna uzi nimeutafuta nimeukosa jamaa alikua analalamika kuhusu utumish kurudia maswali
 
Back
Top Bottom