Walioitwa usahili TLSB Oral

Walioitwa usahili TLSB Oral

ulivoomba ulitoa tangazo hapa????? kama hukutoa kawaulize huko huko ulikoombea.
 
ulivoomba ulitoa tangazo hapa????? kama hukutoa kawaulize huko huko ulikoombea.

Tangazo lilikuepo Tanzania Library Service Board na Utumishi ndiyo waliotangaza acha kumnanga mwenzio Nando
 
Tangazo lilikuepo Tanzania Library Service Board na Utumishi ndiyo waliotangaza acha kumnanga mwenzio Nando

poa mkuu but nae angeliweka kwanza hapa then more updates zingekuja.
 
Oral bado mkuu,kwani hata ile written bado haijawa marked
 
Jana nilienda kuuliza walinijibu kuwa watatoa kati ya tareh 5 au 7 mwez wa 12, coz kuna michakato ya ndani kwa ndani inaendelea..
Ila pia afisa niliyemkuta zamu, alienda mbali kwa kusema kuwa kuna kada ilikuwa na watu wengi waliomba kwa hyo bado wanamalizia kufanya marking ili waje kutoa kqa pamoja..
Nashukur
 
majina ya walioitwa oral interview TLSB yapo website ya utumishi #get prepared #
 
Back
Top Bottom