Unataka kusema nini sasa.vp wadau jamaa huwa hawapewi allowance ya kuanzia maisha....maana wengine hupangwa mbali na nyumbani...na hawana uwezo kifedha
watapewa pesa ya kujikimu ya siku saba(subsistance allowance)
kupewa utapewa ni 455000...ila nakushauri uwe na hela yako pembeni ya kukusukuma angalau mwezi mmoja na zaidi kwa sababu mara nyingi hiyo pesa kuipata nayo inachukua muda sana japokua ni stahiki ya mtumishi!vp wadau jamaa huwa hawapewi allowance ya kuanzia maisha....maana wengine hupangwa mbali na nyumbani...na hawana uwezo kifedha
National Audit anatoaga 9,000,000.00