Walioenda interview LPF leo pale (DUCE) piteni hapa

Wewe ni Mdhibiti na Mkaguzi mkuu wa usaili (Interview Controller & Auditor General -ICAG,).

Wewe kama mkali wao nenda kapige interview husika afu sikilizia matokeo yake.
Tunaomba mtupe mrejesho...kipi kigumu kipi kirahisi...
 
Nilijua tuu... Utaibuka hapa!!
Ukisikia neno Interview masikio wima!!
ndugu mm nimuajuriwa wa serikali tukufu nakuona mshamba sana wa ajira umepata kazi juzi Mara unalalamika ndugu zako wanakuomba pesa wakati wamekusaidia kipindi upo ilboru
 
Umejuaje kama nilipita Ilboru...
We mchawi nini!!!

Halafu sikia nikupe mtonyo..
Ungekua na ajira aisee usingeli simamisha masikio kuulizia michakato ya kazi za laki na nusu kwa Mwezi...
We dogo huna ajira, sema nikupe connection moja hivi...
Muhim uwe unapatikana Dar.
sawa mzee hongera ww mwenye ajira itakuwa ilboru walikufanya vbaya
 
Umejuaje kama nilipita Ilboru...
We mchawi nini!!!

Halafu sikia nikupe mtonyo..
Ungekua na ajira aisee usingeli simamisha masikio kuulizia michakato ya kazi za laki na nusu kwa Mwezi...
We dogo huna ajira, sema nikupe connection moja hivi...
Muhim uwe unapatikana Dar.
naomba mimi huo mchongo nipo hapa hapa town.
 
Back
Top Bottom